Wednesday, 7 December 2016

ACCESS BENKI WAZINDUA TAWI MJINI IRINGA

The Iringa Regional Commissioner Amina Masenza (right) cuts a cake during the launching ceremony of the new Access Bank Tanzania Branch in Iringa Town on Wednesday, others on her right hand side is the Branch Manager Frederick Masungwa and Head of Business Development, Andrea Ottina. (Photo by Friday Simbaya)

Mkuu wa Mkoa wa Iringa Amina Masenza (kulia) akikata keki wakati wa sherehe ya uzinduzi wa tawi jipya la Access Bank Tanzania (ABT) mjini Iringa leo(Jumatano), wengine upande wake wa kulia ni Meneja wa Tawi Frederick Masungwa na Mkuu wa Maendeleo ya Biashara, Andrea Ottina. (Picha na Friday Simbaya)




No comments:

ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...