Saturday, 24 December 2016

NDOA GODFREY NA ESTHER WA JIJINI MWANZA YAFANYA



Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Saint Nicholas Jimbo Kuu Mwanza DVN, Lazaro Manjelenga, akiwafungisha ndoa Bwana Godfrey Sinyangwe na Bibi Esther Kiluma wote wa Jijini Mwanza, hii leo. Amesaidizana na Mchungaji Msaidizi wa Kanisa hilo, Joseph Samwel.




Bwana Godfrey Sinyangwe na Bibi Esther Kiluma wakivishana pete ya ndoa


Upendo wa dhati


Bwana Godfrey Sinyangwe (kushoto) na Bibi Esther Kiluma, wakifurahia ndoa yao


Wanapendana sana


Bwana Godfrey Sinyangwe na Bibi Esther Kiluma


Ndoa na iheshimiwe na watu wote


Bwana Godfrey Sinyangwe na Bibi Esther Kiluma wakiwa ufukweni


Ndoa yetu na idumu milele


Baada ya ndoa pamoja na zoezi la kupiga picha katika ufukwe wa ziwa Victoria, shughuli usiku huu inafanyika Ukumbi wa Bugando Club.

SIMBAYABLOG inawatakia Maisha Mema.


No comments:

ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...