Monday, 26 June 2017

ASKOFU MTEULE GAVILLE AMTAKA RAIS MAGUFULI KUUMALIZIA MCHAKATO WA KUANDIKWA KWA KATIBA MPYA

Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Dk Fredrick Shoo amemweka wakfu na kumwingiza kazini Askofu Mteule wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Iringa, Blaston Gaville jana huku akimtaka Rais Dk John Magufuli kuumalizia mchakato wa kuandikwa kwa Katiba Mpya. (Picha na Friday Simbaya)

No comments:

ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...