Sunday, 28 January 2018

MNEC SALIM ASAS AHIDI MAKUBWA KWA UWT WILAYA YA IRINGA



Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi (CCM) MNEC Salim Abri (Asas) akihutubia mkutano wa baraza la umoja wa wanawake Tanzania (UWT) wilaya ya Iringa vijijini jana na kuahidi kuchangia shilingi milioni tano kila mwaka katika mpango kazi wa UWT wa miaka mitano (5) 2018-2022 wa umoja huo. Aliyeketi kushoto kwake ni mwenyekiti wa UWT wilaya Iringa Lena Kongole. (Picha na Friday Simbaya)



No comments:

ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...