![]() |
Mtatifi kutoka shirika kimataifa la Follow The Honey Inc. la Marekani, Brian Woerner (kulia) akitatifi maua ambayo yanaweza kutumiwa na nyuki kuzalisha asali kwa wingi zaidi wakati alipotembelea maeneo mbalimbali yatakayotumika katika ufugaji nyuki wilayani Kilolo mkoani Iringa kwa kushirikiana na shirika la Namaingo Business Agency la Iringa region mkoani jana. Wa pili kulia ni Mkurugenzi wa Follow The Honey Tanzania , Kaizirage Camala akiambatana na baadhi ya viongozi wa kikundi cha ufugaji nyuki cha nguvukazi ambao ni Remmy Sanga na Mrema wilayani humo jana. (Picha na Friday Simbaya)
No comments:
Post a Comment