Friday, 12 September 2025

MKUU WA MAJESHI YA ULINZI NCHINI AWASILI MKOANI IRINGA






Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi wa Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Jenerali Jacob John Mkunda, amewasili mkoani Iringa leo kwa ziara ya kikazi.

 

Katika ziara hiyo, Jenerali Mkunda amekutana na Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Komredi Kheri James, pamoja na wajumbe wa Kamati ya Usalama ya Mkoa ambapo walijadiliana masuala mbalimbali yanayohusu usalama na ulinzi wa wananchi.

No comments:

MKUU WA MAJESHI YA ULINZI NCHINI AWASILI MKOANI IRINGA

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi wa Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Jenerali Jacob John Mkunda, amewasili mkoani Iringa leo kwa ziara ya kikazi.  ...