Friday, 12 September 2025

MKUU WA MAJESHI YA ULINZI NCHINI AWASILI MKOANI IRINGA






Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi wa Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Jenerali Jacob John Mkunda, amewasili mkoani Iringa leo kwa ziara ya kikazi.

 

Katika ziara hiyo, Jenerali Mkunda amekutana na Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Komredi Kheri James, pamoja na wajumbe wa Kamati ya Usalama ya Mkoa ambapo walijadiliana masuala mbalimbali yanayohusu usalama na ulinzi wa wananchi.

No comments:

ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...