Thursday, 23 November 2017

WAZIRI HARRISON MWAKYEMBE AZINDUA MICHUANO YA SHIMUTA IRINGA




Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe akiwa pamoja na mkuu wa mkoa wa Iringa bi Amina Masenza jukwaa kuu akiwahutubia wanamichezo waliojitokeza kushiriki michuano ya SHIMUTA







Baadhi ya wanamichezo walikuwa wakifurahia jambo baada ya waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe kuzindua rasmi mashindano hayo



Michuano ya SHIMUTA inayohusisha wafanyakazi wa mashirika ya umma, kampuni za watu binafsi na taasisi zilizopo hapa nchini imezinduliwa rasmi mkoani Iringa huku washiriki wakiwataka waajiri kuwaruhusu wafanyakazi kushiriki katika michezo huku waziri mwenye dhamana ya michezo akitoa onyo kwa mamluki.


Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe amezionya timu ambazo zinashiriki kwenye michuano ya Shirikisho la Michezo la Mashirika ya Umma na Kampuni Binafsi Nchini (SHIMUTA) kuacha kuchukua wachezaji ambao sio wafanyakazi kwani kufanya hivyo kunapunguza ladha ya mashindano hayo. 


Mwakyembe alisema kuwa michezo hujenga undugu na furaha baina ya wanamichezo hivyo kuwaingiza wachezaji ambao sio wafanyakazi kwenye mashindano hayo wataondoa maana halisi ya mashindano hayo jambo ambalo linaweza kuwafanya kushindwa kufikia malengo yao waliojiwekea. 


“Mashindano haya ni ya wanamichezo wafanyakazi…kuna wale wanamichezo ambao sio wafanyakazi ambao wanajulikana kama mamluki au wavamizi kwamba hapa sio mahala pao nawasihi tuchezeshe wafanyakazi halisi ili mshindi apatikane kihalali na sio vyenginevyo….. kwa sababu ni hatari sana kumleta mwanamichezo ambaye sio mfanyakazi kwenye michezo hii anaweza kuvunjika mguu au akifa kwa mfano hatuombei itokee hiyo itakuwaje “Alisema Mwakyembe


Aidha Mwakyembe alizitaka timu hizo kuacha kuwatumia wachezaji wa aina hiyo kwani wana madhara makubwa hasa pale yanapokuwa yakijitokeza kwa kuzitaka timu zenye utamaduni huo kuhakikisha wanaondokana nao. 


Hata hivyo waziri Mwakyembe alionekana kukerekwa na baadhi ya menejimenti za Taasisi,Mashirika na makampuni mbalimbali kuwa na utashi wa kutokupenda michezo na wengine kwa kisingizio cha ukosefu wa fedha kuacha kufanya hivyo badala yake wamuunge mkono Rais Jakaya Kikwete katika jitihada zake za kuinua na kuendeleza michezo hapa nchini. 

Akizungumzia waamuzi wanaochezesha mashindano hayo, Mwakyembe aliwataka kuchezesha kwa haki bila upendeleo kwa kufuata sheria za mchezo husika ili mshindi aweze kupatikana kihalali kwa sababu wakienda kunyume chake wanaweza kusababisha tafrani na manung’uniko kwa baadhi ya timu shiriki. 


Hali kadhalika aliwataka kuhakikisha wanakuwa na nidhamu ya hali ya juu wakati wote wa mashindano ikiwemo kukubaliana na matokeo pindi watakapojikuta wamefungwa wakati wa mashindano hayo. 


Naye Mwenyekiti wa Shimuta, Khamis Mkanachi alisema kuwa kupungua kwa idadi ya timu shiriki kunatokana na baadhi ya mashirika kubinafsishwa hali ambayo imepelekea timu nyingi kushindwa kupata nafasi ya kupeleka washiriki wake lakini pamoja na kuwepo hali hiyo shirikisho hilo limendelea na jitihada za ziada kuhakikisha idadi ya timu hizo haipungui bali kuongezeka. 


Nao baadhi ya washiriki wameeleza sababu ya baadhi ya waajiri wasio na mapenzi na michezo kushindwa kutoa hamasa sehemu za kazi kwa kutokujua faida zitokanazo na michezo.


Ni wajibu wa viongozi kuinua na kuendeleza michezo mahala pa kazi “ni kauli mbiu yenye lengo la kuhamasisha ushiriki wa michezo kwa watumishi kwa lengo la kukutanisha wafanyakazi wa idara tofauti na kubadilishana uzoefu wa kikazi lakini kubwa zaidi ni kujenga afya kwa kupitia michezo.


SHIMUTA ni Shirikisho la Michezo la mashirika ya Umma Taasisi, na kampuni binafsi hapa nchini, lililoanzishwa na serikali ili kuhimiza michezo mahala pa kazi.

Wednesday, 22 November 2017

Zimbabwe: Post-Mugabe government must open new chapter of respect for rights

Robert Mugabe kisses his wife Grace in April 2017.
Robert Mugabe kisses his wife Grace in April 2017. Photograph: Jekesai Njikizana/AFP/Getty Images
Responding to the news that Robert Mugabe has resigned as President of Zimbabwe, Salil Shetty, Secretary General of Amnesty International said after more than three decades of violent repression, the way forward for the country is to renounce the abuses of the past.

Mr Shetty noted that the country must enter into a new era where the rule of law is respected and those who are responsible for injustices are held to account.

During 37 years of President Mugabe’s leadership, tens of thousands of people were tortured, forcibly disappeared or killed. President Mugabe condoned human rights violations, defended criminal actions of his officials and allowed a culture of impunity for grotesque crimes to thrive.

He said although Zimbabwe invested heavily in social services in the early years of independence, much of this progress was wiped out by later events such as the Operation Murambatsvina forced evictions campaign of 2005, which destroyed the homes or livelihoods of 700,000 people.

“The people of Zimbabwe deserve better. The next generation of leaders must commit itself to upholding the constitution, living up to Zimbabwe’s international human rights obligations and treating its people with dignity and justice,” Mr Shetty said.

  • Background
  • 1924: Born
  • 1964: Imprisoned by Rhodesian government
  • 1980: Wins post-independence elections
  • 1996: Marries Grace Marufu
  • 2000: Loses referendum, pro-Mugabe militias invade white-owned farms and attack opposition supporters
  • 2008: Comes second in first round of elections to Morgan Tsvangirai who pulls out of run-off amid nationwide attacks on his supporters
  • 2009: Amid economic collapse, swears in Mr Tsvangirai as prime minister, who serves in uneasy government of national unity for four years
  • 2017: Sacks long-time ally Vice-President Emmerson Mnangagwa, paving the way for his wife Grace to succeed him. Army intervenes and forces him to step down

Robert Mugabe resignation ushers in new era for Zimbabwe




Robert Mugabe has resigned as president of Zimbabwe with immediate effect after 37 years in power, ushering in a new era for a country as uncertain as it is hopeful.

The man who ruled with an autocrat’s grip for so many years finally caved to popular and political pressure hours after parliament launched proceedings to impeach him.

He had refused to leave office during an eight-day crisis that began when the military took over last week. Clinging to the formal vestiges of power, he was unable or unwilling to recognise that after so many years of political mastery, he had lost control of both his party and the country.

Play Video

0:57 Singing and dancing breaks out on the streets of Harare - video

Mugabe, who outwitted and outlasted so many opponents during his career, had appeared determined to fight on, turning a televised address to the nation on Sunday, when he was expected to announce his own retirement, into a defiant description of future plans.
Advertisement


So when the parliament speaker, Jacob Mudenda, announced that Mugabe had submitted his resignation in a letter, there was wild jubilation in parliament, replicated within minutes by large crowds on the streets of Harare and in other major cities.

“I’m excited for myself, my baby, the whole nation,” said Mildred Tadiwa, who was out with her five-month old daughter. “My daughter will grow up in a better Zimbabwe.”

Zimbabweans raced up and down the wide boulevards of the capital as the sun set, honking car horns, waving flags, singing, dancing and cheering.

“We are elated! It’s time for new blood. I’m 36 and I’ve been waiting for this all my life, I’ve only known one leader,” said William Makombore, who works in finance. He was waving a flag he had kept in his car since the weekend’s protests. “It’s is going to be an all-nighter.”

There were no immediate details from generals, allies or party officials about what would happen to Mugabe and his family after his resignation. Always a ruthless operator, Mugabe is certain to have negotiated hard over the conditions for his relinquishing of power.
The letter allowed him to leave office with some remaining dignity, but it also allowed the group behind his downfall to present it as a constitutional transfer of power, rather than a change of government effected at gunpoint.

Play Video

1:23 Zimbabweans celebrate Robert Mugabe's resignation – video

The military generals moved against Mugabe due to factional struggles within the ruling Zanu-PF party, and with the support of his presumed successor Emmerson Mnangagwa, a party stalwart and liberation war veteran known as “the Crocodile”.

Mnangagwa’s firing as vice-president at the start of the month triggered the takeover and the subsequent unravelling of Mugabe’s control. The party that had bent to Mugabe’s every will for so many years was quick to turn on the 93-year-old, first evicting him from his position as party chief and then leading the impeachment drive.Q&A
What might happen next for Robert Mugabe?Show

However, what began as a palace coup developed into a popular revolt. Mugabe’s downfall unleashed extraordinary hopes as hundreds of thousands of Zimbabweans poured on to the streets at the weekend to call on him to leave.

Crowds also turned up to cheer MPs when they began impeachment proceedings on Tuesday afternoon, and began singing, dancing and chanting in Africa Unity square. Though many Zimbabweans respect Mugabe’s role as a guerrilla hero of the liberation struggle, fewer and fewer were willing to defend his recent record.

FacebookTwitterPinterest Emmerson Mnangagwa stands behind Robert Mugabe in a 2014 swearing-in ceremony. Photograph: Tsvangirayi Mukwazhi/AP

He has ruled as an autocrat, prepared to sacrifice the economic wellbeing of 16 million people in order to remain in power. Industry and farming have collapsed throughout the country, while inflation has spiralled and only 10% of young Zimbabweans can find jobs at home.

By the end, Mugabe had few options left as he controlled the country through a mixture of coercion and bribery papered over with the rhetoric of revolutionary movements. Support in some branches of the security establishment had evaporated and he increasingly alienated some of his former allies by openly supporting the political ambitions of his wife, Grace.

Even Zimbabweans reluctant to criticise the man who led the country to freedom from the British bridled at the prospect of a Mugabe dynasty. Much of the anger evident in recent demonstrations focused on Grace – and the faction that had formed around her.


Mugabe’s fall will reverberate across a continent where hundreds of millions of people still suffer the excesses of authoritarian rulers, are denied justice by corrupt or incompetent officials, and struggle to hold even elected governments to account.

The deal Mugabe has struck to leave power might tempt other rulers to leave before they are pushed, if he is able to protect his family and some of the assets he is thought to have accumulated while in power.Profile
Who is Emmerson Mnangagwa?Show

Coups have been extremely rare in southern Africa. Zimbabwe’s new rulers will aim to protect a reputation for civilian rule and so avoid sanctions and diplomatic penalties usually triggered by forced transition.

The generals insisted from the moment they put Mugabe under house arrest that they were acting in his interests and in service of the state. Zimbabweans have largely praised the military for acting in the national interest.

Mnangagwa, 75, the war veteran, Zanu-PF stalwart and former spy chief, is expected to be sworn in to replace Mugabe as president later this week. However, he is not the obvious face of change.

He was Mugabe’s right-hand man for years, falling out of favour only as Grace’s political influence increased. Mnangagwa is dogged by many of the accusations of corruption and human rights abuses that tarnished Mugabe’s own record.

Members of the ruling Zanu-PF have anointed Mnangagwa president in waiting, although his succession will not be automatic because he is no longer vice-president.

FacebookTwitterPinterest Robert Mugabe kisses his wife Grace in April 2017. Photograph: Jekesai Njikizana/AFP/Getty Images

Mnangagwa was conciliatory in his only public comment since the coup, a statement issued hours before Mugabe announced his resignation.
Advertisement


“My desire is to join all Zimbabweans in a new era,” he wrote. “In that new Zimbabwe it is important for everyone to join hands so that we rebuild this nation to its full glory, this is not a job for Zanu-PF alone but for all the people of Zimbabwe.”


The fragmented opposition movement will be hoping for a commitment from any new ruler that they will be included in any transition government, and that national elections due to be held by next August will go ahead as planned.


Zimbabweans know that the change was driven as much by competition for power within Zanu-PF as by popular anger at a dictatorial and corrupt regime. For one evening, however, they wanted to focus on celebrating the change they had almost given up hoping would come, the end of a rule which has defined generations.

“I’m 35 and I have children. I was born under Mugabe, and they were born under him,” said Munyaradzi Chisango, an engineer. “This is going to put Zimbabweback on the map.”

Tuesday, 21 November 2017

Kenya summons Tanzanian envoy over cow row



Cattle crossing a road. Tanzania has auctioned 1,125 cattle belonging to Kenyan herders. The cows were seized when they were found grazing in Tanzania. PHOTO | NMG 


In Summary

Tanzania seized and sold 1,300 Kenyan cattle which had been driven across the border during a routine seasonal search for pasture, angering Kenya's government.
A series of diplomatic and trade squabbles have soured relations between the Kenya and Tanzania in recent months.

Tanzania's ambassador to Kenya has been summoned to explain why Kenyan cows had been forcibly auctioned after crossing into Tanzania, officials said, the latest development in a spat between the two neighbours.


In October, Tanzania seized and auctioned 1,300 Kenyan cattle which had been driven across the border during a routine seasonal search for pasture, angering Kenya's government.


Then, earlier this month, the dispute diversified into poultry when Tanzania confiscated 6,500 chicks and burned them alive saying they had been brought from Kenya illegally and might spread disease.


Kenya's foreign ministry issued a "note of protest" in response and has followed it up with a summons to Tanzania's ambassador in Nairobi, signalling a deepening rift between the nations.


"Following the auction of these cows and the destruction by fire of the chicks, which had also entered in violation of the law, the Kenyan government summoned our ambassador in Nairobi to ask for explanations," Tanzania's foreign ministry said in a statement Sunday.


It did not say when the meeting took place.


The statement reiterated that "the entry of livestock and livestock products into the country is governed by national laws, regional and international agreements" aimed at preventing the spread of disease and urged Kenya and other neighbours to control their farmers and herders.


A series of diplomatic and trade squabbles have soured relations between Kenya and Tanzania in recent months.


Kenyan traders have complained of mistreatment by Tanzanian immigration agents, which has sparked protests at the border, and tit-for-tat trade jabs have seen the two nations blocking the import of various goods from either country.


Monday, 20 November 2017

CCM YAONGEZA NGUVU KAMPENI ZA UDIWANI KITWIRU





HUKU kampeni za uchaguzi mdogo wa udiwani kata ya Kitwiru zikiingia wiki ya lala salama, Chama cha Mapinduzi (CCM) kinazidi kuongeza nguvu katika kampeni zake kwa kuwapandisha jukwaani makada mbalimbali wanaonadi sera za chama hicho na kumuombea kura mgombea wao, Baraka Kimata.


Baraka Kimata anayepewa nafasi ya kushinda uchaguzi huo kama ilivyo kwa mshindani wake kutoka Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Bahati Chengula amesema ameamua kuigeuka Chadema na kujiunga na CCM ili apate fursa pana zaidi ya kuwatumikia wananchi wa kata hiyo.


Kimata alikuwa diwani wa kata hiyo katika kipindi cha miaka miwili iliyopita kupitia Chadema kabla ya kujiengua akipinga kile anachodai udikteta wa Mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa.



Katika uchaguzi mkuu wa 2015, Kimata alishinda udiwani wa kata hiyo kupitia Chadema akipata kura 3,183 dhidi ya kura 2,557 alizopata mgombea wa CCM.

MCHUNGAJI MSIGWA ANOGESHA KAMPENI ZA UDIWANI KITWIRU





MBUNGE wa Jimbo la Iringa Mjini Mchungaji Peter Msingwa (CHADEMA) amesema chama chao kimemsimamisha mgombea makini, mwenye uwezo na mchapakazi hodari anayeweza kushirikiana vyema na wananchi wa kata ya Kitwiru kuleta maendeleo.


Katika uchaguzi huo mdogo utakaofanyika Novemba 26, mwaka huu Chadema imemsimamisha Bahati Chengula dhidi ya mgombea wa CCM, Baraka Kimata anayetuhumiwa kwa usaliti baada ya kukihama chama hicho.


Msigwa anasema Baraka Kimata hakuwa mwanasiasa na ndio maana alihama kutoka Chadema akiwa na wadhifa wa udiwani na kukimbilia CCM ambako pia anatafuta nafasi ile ile.


“Huyu mtu tulimuokota Ipogolo akiwa anashona nguo na alikuwa hajui chochote kuhusu siasa, tulimpika, akaanza kumudu jukwaa, akashinda udiwani, lakini kwa uroho wake wa fedha akahama Chadema. Anataka kuwatumia watu wa Kitwiru kujaza tumbo lake,” alisema Msigwa.


Msigwa aliwaomba wana Kitwiru kumchagua Bahati Chengula akisema atakuwa katika nafasi nzuri ya kushirikiana na baraza la halmashauri ya manispaa ya Iringa linaloundwa na madiwani wengi wa Chadema kuleta maendeleo ya kata hiyo.

KK to Zimbabwe to persuade Mugabe to step down


FILE: Hifikepunye Pohamba (l), Robert Mugabe (c) and Dr Kenneth Kaunda at Edgar Lungu’s inauguration


Reuters reports that former president Kenneth Kaunda to Harare to try to convince President Robert Mugabe to step down in a “dignified exit” after the military seized power last week.

The ruling party removed Mugabe as Zanu-PF president and first secretary on Sunday and lawmakers from the ruling party were due to meet at the party headquarters on Monday to discuss impeaching the 93-year-old leader.

“Dr Kaunda used the presidential jet and has already arrived in Harare,” a senior government source told Reuters. Kaunda is also 93 years old.

Botswana President Ian Khama has also called on Zimbabwe President Robert Mugabe to end his attempts to remain in office.

The military intervention, which political sources say could pave the way to a national unity government after 37 years of Mugabe rule, also presented “an opportunity to put Zimbabwe on a path to peace and prosperity”, Khama told Reuters.

“I don’t think anyone should be President for that amount of time. We are Presidents, we are not monarchs. It’s just common sense,” Khama said

And Members of Zimbabwe’s ruling Zanu-PF party are preparing to meet to discuss the possible impeachment of President Robert Mugabe, after a deadline for his resignation came and went on Monday.

The deadline was set by Mr Mugabe’s own party, Zanu-PF.

The embattled leader surprised Zimbabweans on Sunday, declaring on TV that he planned to remain as president.

Zanu-PF says it backs impeachment, and proceedings could begin as soon as Tuesday when parliament meets.

Mr Mugabe’s grip on power has weakened considerably since the country’s army intervened on Wednesday in a row over who should succeed him.

The crisis began two weeks ago when the 93-year-old leader sacked his deputy Emmerson Mnangagwa, angering army commanders who saw it as an attempt to position his wife Grace as next president.

Saturday, 18 November 2017

AMKA NA MAGAZETI YA LEO NA TUMBUSI BLOG





Ni asubuhi nyingine tena na habari kubwa kwenye Magazeti ya Tanzania leo November 19 2017. 




















TASAF WILAYANI IRINGA WAPONGEZWA




Na Friday Simbaya, Iringa

Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) Andy Karas ameridhishwa na utekelezaji wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf) wilayani Iringa kupitia mpango wa kunusuru kaya masikini nchini kwa awamu ya tatu.

Karas alisema hayo jana walipotembea Kijiji cha Igingilanyi wilayani Iringa, mkoani Iringa na kujionea matokeo ya program mbalimbali zinazoendeshwa na USAID kama vile sekta ya kilomo, lishe, elimu,afya, wanawake na vijana na utawala bora.

Alisema kuwa amefurahishwa na hali za wanufaika kwa kuona baadhi ya wanufaika maisha yao yamebadilika kwa kuanzisha miradi mbalimbali ikiwemo ufagaji wa kuku na nguruwe.

“Nimefurahi sana kuona baadhi ya wananchi wakibadilika kimaisha kwa kuwa na makazi bora kupitia msaada unaotelewa na USAID kupitia mfuko wa maendeleo ya jamii kupitia mpango wake wa kunusuru kaya masikini,” alisema Karas.

Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) Andy Karas alifanya ziara mkoani Iringa iliyoanza jumatatu hadi ijumaa wiki iliyopita kwa lenga la kujionea matokeo ya programu mbalimbali zinazoendeshwa na USAID mkoani humo pamoja na kufanya mazungumzo na wabia na walengwa wa programu hizo. 

Alisema kuwa ziara hiyo inaakisi wigo mpana wa miradi inayofadhiliwa na Marekani nchini Tanzania, ikijumuisha sekta za kilimo, lishe, elimu, afya, wanawake na vijana na utawala bora.

Kwa upande wake, Mkurugenzi Miradi wa TASAF, Amadeus Kamagenge amelipngeza Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) katika kusaidia juhudi za serikali za kuwaondoa wananchi wanaokabiliwa na umasikini. 

“TASAF ni mpango wa kunusuru Kaya maskini na imekuwa katika awamu tatu mpaka hadi sasa kwa ajili ya kuwezesha Kaya maskini kujikwamua kiuchumi,” alisema Kamagenge.

Jumla ya kaya 97 za Kijiji cha Igingilanyi zinanufaika na mfuko wa maendeleo wa jamii kupitia mpango wa kunusuru kaya masikini ambapo imeelezwa kuwa kaya hizo zimelipwa mara 14 na zaidi ya milioni 49 zimetolewa kwa wanufaika.


Hata hivyo, serikali imejipanga kuborsha zaidi mpango wa kunusuru Kaya masikini nchini ujulikanao kama TASAF kwa awamu ya tatu kwa kutengeneza miundombinu mizuri ya kutambua Kaya zinazolengwa na kuondoa malalamiko ya wananchi kuwa mpango huu umekuwa ni wa Kaya chache na fedha hizo utolewa kwa upendeleo.

USAID HAILS IRINGA DISTRICT FOR IMPLEMENTING WELL TASAF PROGRAM




Part of TASAF program beneficiaries at Igingilanyi Village in Iringa District, Iringa Region singing and chanting for Mission Director of United States Agency for International Development (USAID) Tanzania, Andy and his delegation when they visited their village yesterday. (Photo by Friday Simbaya)



IRINGA: Mission Director of United States Agency for International Development (USAID) Tanzania, Andy Karas has been satisfied with the implementation of the Tanzania Social Action Fund (Tasaf) in Iringa district, through the program to assist poor people in the country for the third phase.

Karas said yesterday when he and his delegation visited Igingailanyi Village in Iringa District, Iringa region to see the results of various USAID programs such as the agriculture, nutrition, education, health, women and youth and good governance.

He said he was pleased seeing some of beneficiaries have changed their lives by setting up various projects including poultry and pigs.

"I am very happy to see some of the people change their lives because of having better housing through USAID's support through the TASAF through its plan to help poor people," said Karas.

The USAID Mission Director Andy Karas was in Iringa region from Monday to Friday last week for an overview of USAID's multi programs implemented in the region with and see how beneficiaries of the programs have benefited.

He said that the visit reflects the wide range of US funded projects in Tanzania, including agriculture, nutrition, education, health, women and youth and good governance.

In turn, the TASAF Director of Community Support, Amadeus Kamagenge, has hailed USAID in assisting government efforts to eradicate poverty in the country.

"TASAF is a program to help poor Households and it has been in phase three (III) until now to empower the poor Households to get rid of the poor economy," said Kamagenge.

The total of 97 households of Igingilanyi Village in Iringa District, Iringa Region benefit from the social development fund (TASAF) through the program of alleviating poverty from poor households, which has been reported that these households have been paid 14 times and more than 49 million shillings have been paid for beneficiaries.

However, the government is committed to furthering the initiative to help poor people in the country known as the TASAF in the third phase by creating good infrastructure for identifying targeted Households and eliminating public complaints that this scheme has been a few Households. 



Ends

WATOTO WAITAKA SERIKALI KUTUNGA SHERIA KALI ...

Na Friday Simbaya, Mufindi  Wanafunzi wa shule za msingi na sekondari wilayani Mufindi mkoani Iringa wameiomba serikali kwa kush...