TIMU ya Abasia Peramiho FC jana waliitafuna Abasia Hanga FC mabao 2-0, katika mechi ya kirafiki iliyofanyika Uwanja wa Hanga Wilayani Namtumbo, Mkoani Ruvuma.
Timu hizo zote mbili ni za watawa ambapo Abasia Peramiho ni wa ‘Benedictine White Fathers’ wa Peramiho ya Wilaya Songea (V) na Abasia Hanga ni ya ‘African Benedictine Fathers’ wa Hanga wilayani Namtumbo., Mkoani Ruvuma.
Katika mechi hiyo, Abasia Peramiho ilingia kwa nguvu na kupeleka mashambulizi mfululizo na kufanikiwa kupata bao la kwanza katika dakika chache za mwanzo kipindi cha kwanza, lilofungwa na Davis Komba baada ya kupata klosi kutoka kwa winga wa kulia wa timu hiyo.
Kama hivyo haitoshi, Abasia Peramiho waliaandika bao la pili kwa kupata penati baada ya mabeki wa Timu ya Hanga kumuangusha mshambuliaji wa Abasia Peramiho, Bro.Jerome katika eneo la hatari, na Mwamuzi Bro. Deogratias Komba kutoka Peramiho kuwazawadia penati.
Bada ya kufungwa mabao hayo, Hanga FC ilitulia na kuanza kupeleka mashambulizi langoni mwa Abasia Perahiho, lakini hata hivyo mabeki wa wapinzani wao walikaa imara kwa kuondoa hatari zote.
Kipindi cha pili kilianza timu zote zikafanya madiliko lakini haikuwa ni bahati kwa Timu ya Hanga FC mabeki wake tena walifanya madhambi kwa mshumbuliaji wa Abasia Peramiho FC, na Peramiho kupata penati ya tatu lakini bahati nzuri kipa wa Hanga aliipangua shuti kutoka kwa mpiga penati.
Penati hiyo ilipigwa na Mshambuliaji wa Peramiho, Bro. Gabriel ambao hata hivyo alikosa baada ya kipa wa Hanga kuutema mpira kutokana na shuti kali kutoka kwa mpiga penati.
Licha Hanga kufanya juhudi za kutafuta bao lakini bahati haikuwa yao baada ya mabeki wa wapinzani walikuwa imara. Dakika za mwisho, Hanga walikosa mabao ya wazi kwa kuwa kipa wa Peramiho aliyapanguwa kwa ustadi.
Timu ya Abasia ya Hanga ya Wilaya ya Namtumbo, Mkoani Ruvuma
Timu ya Abasia ya Peramiho ya Peramiho, Songea vijijini Mkoani Ruvuma
Monday, 3 January 2011
Saturday, 1 January 2011
HAPPY NEW YEAR!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Young people also knows the importance of celebrating New Year, and this is how they were celebrating it.
NEW YEAR GREETINGS
Otilinda Mambi (38) a resident of Lusewa Ward in Namtumbo District, Ruvuma Region, said she was happy that the New Year has brought her some blessings because she got baby after struggling for long time with her husband, Winfred Ngonyani looking for the baby but all in vain.
SEVEN babies have been born at the ‘New Year Eve’ at St Joseph’s Mission Hospital Peramiho in Ruvuma Region including a 38 year old woman who had a baby boy for the first time in life since 1990 when was married to her husband.
The new born babies include four girls and three boys and their health were said to be doing fine together with their mothers.
Otilinda Mambi (38) a resident of Lusewa Ward in Namtumbo District, Ruvuma Region, said she was happy that the New Year has brought her some blessings because she got baby after struggling for long time with her husband, Winfred Ngonyani looking for the baby but all in vain.
She said that for the past 21 years she could not have a child since they were married in 1990 with Winfred Ngonyani but thanked God she conceived pregnancy after staying in marriage for long time with all gossiping going around from their neighborhoods that they cannot….
“AT last I have got the baby boy after staying in the marriage for 21 years with my husband but now God has answered our prayers,” she expressed her feelings.
She told ‘The Guardian’ on Saturday at bedside in the Labour Ward where she is admitted after she delivered her baby through medical operation. She said has being married since 1990 without any success of having child with her husband.
“I tell you God is enormous, for a long time I have stayed in the marriage with my husband for more than 20 years, we could not succeed to have a child but today it is a great day for me and my husband,” she said.
It is good that people should not give-up in life especially when those in marriages and stayed for a long time without having child, but instead pray to God for their situations because he is going to answer you at anytime.
According to the Labour Ward In charge, Gido Lupogo, he has confirmed that Mambi delivered a baby boy and her health getting well together with her infant.
Lupogo explained that the woman was brought at the hospital since five days ago but she failed to give birth normally and later on she operated.
He noted that it is not easy for the woman to with bigger age to give birth normally considering the she was approaching the period of stopping the menstruation. In addition, he said there were seven babies born at the hospital during the New Year eve including two abnormal deliveries.
He said the first abnormal delivery, one woman had baby in womb that wanting to come out with buttocks first instead of the head and second one that one involved the 38 years was brought to hospital fives before but failed deliver through normal delivery.
“In order to rescue the life both the mothers and babies we decided to do them medical operation to serve the lives of their infants and indeed theirs,” he explained.
Sunday, 26 December 2010
HEBU TOA MAONI!
Je, kupeleka watoto kunyoa kwa vinyozi vinavyotumiwa na watu wazima ni salama? Nafikiri sio sahihi kungetakiwa kuwepo na vinyozi vya watoto kuliko kuwachanganya na wakubwa kama unavyojua ni rahisi kuambukizwa magonjwa ya ngozi kama vile fangasi na mapunye kwa vile ngozi yao ni laini.
Miradi mingi ya maji hufa muda mfupi baada ya kukamilika kutokana na kutowashirikisha wananchi, na wao kuona miradi hiyo kama si mali yao bali ni ya serikali na matokeo yake hubaki kuwa vyuma chakavu bomba ambalo halitowi maji kwa miaka mingi kutokana na ukosefu wa usimamizi madhubuti. Ingefaa pindi miradi ya maji inavyo kamilika ikabidhiwe kwa jumuiya za watumiaji maji (WUA) katika maeneo husika ili iweze kudumu. Pia ingefaa gharama za miradi wa maji (water points) ziendane na ubora wa miradi (end product) yenyewe na kuzingatia kwamba hakuna maji ya kutosha ardhini kwenye mwamba wa maji 'watertable'.
Miradi mingi ya maji hufa muda mfupi baada ya kukamilika kutokana na kutowashirikisha wananchi, na wao kuona miradi hiyo kama si mali yao bali ni ya serikali na matokeo yake hubaki kuwa vyuma chakavu bomba ambalo halitowi maji kwa miaka mingi kutokana na ukosefu wa usimamizi madhubuti. Ingefaa pindi miradi ya maji inavyo kamilika ikabidhiwe kwa jumuiya za watumiaji maji (WUA) katika maeneo husika ili iweze kudumu. Pia ingefaa gharama za miradi wa maji (water points) ziendane na ubora wa miradi (end product) yenyewe na kuzingatia kwamba hakuna maji ya kutosha ardhini kwenye mwamba wa maji 'watertable'.
Saturday, 25 December 2010
CHRISMAS PHOTOS
Tanzania ina ungana na dunia kusherehekea siku ya kuzaliwa mkombozi wa ulimwengu. Hapa ndipo mtoto Yesu alipozaliwa katika zizi la ng'ombe Bethlehemu.
Kutoka kushoto kwenda kulia ni Kris Simbaya (Jr) na Ken Simbaya (Jr) wakiwa katika pozi ya picha maeneo ya Peramiho Songea, Mkoa wa Ruvuma.
Kutoka kushoto kwenda kulia ni Friday Simbaya, Kris Simbaya, Ken Simbaya na Lina Changwa wakiwa katika picha ya pamoja siku ya Krismas.
Mama Simbaya ambaye ni mke mpendwa wa mmiliki wa blog hii akiwa na watoto wake walipokuwa wa kisherekea siku kuu ya Krismas leo jioni.
Kutoka kushoto kwenda kulia ni Kris Simbaya (Jr) na Ken Simbaya (Jr) wakiwa katika pozi ya picha maeneo ya Peramiho Songea, Mkoa wa Ruvuma.
Kutoka kushoto kwenda kulia ni Friday Simbaya, Kris Simbaya, Ken Simbaya na Lina Changwa wakiwa katika picha ya pamoja siku ya Krismas.
Mama Simbaya ambaye ni mke mpendwa wa mmiliki wa blog hii akiwa na watoto wake walipokuwa wa kisherekea siku kuu ya Krismas leo jioni.
ZAWADI YA MKESHA WA NOELI
Muuguzi wa Zamu wa St. Joseph's Mission Hospital Peramiho akiwa anawaangalia watoto ambao walizaliwa kabla ya umri yaani 'Premature babies' katika Chumba cha Joto 'Premature Unit or Incubator Room' Jumamosi kuangalia kama wanaendelea vizuri lakini hawakuzaliwa kwenye Mkesha wa Krismasi wako wanne.
Na Friday Simbaya,
Peramiho
JUMLA ya watoto 13 wamezaliwa, wakiwemo wakike tisa na wakiume wanne katika Hospitali ya Mission ya Mtakatifu Joseph Peramiho mkoani Ruvuma katika Mkesha wa Noeli (Krismasi) usiku wa kuamkia LEO.
Akiongea na BLOG HII, Muuguzi wa Zamu (Nursing Office in charge), Bi. Sirah Nchimbi alisema kwamba watoto wote walizaliwa kwa njia ya kawaida isipokuwa watoto watatu ndiyo waliozaliwa kwa njia ya upasuaji (surgical operation) lakini hali zao zinaendelea vizuri pamoja na mama zao.
“Watoto hao walizaliwa na uzito wa kawaida, hali zao zinaendelea vizuri sana pamoja mama zao. Wakina mama wengine wameruhusiwa baada ya kujifungua lakini wamebaki wale walioji fungua kwa opresheni ambao wako katika uangalizi maalumu,” alisema muunguzi wa zamu.
Aidha, alisema kuwa yapo matatizo wanayokubiliana nayo kama vile kina mama kutofika mapema hospitalini pindi wapatapo uchungu wa uzazi kunako sababisha wengi wao kinamama kujifungulia njiani kabla ya kufika hosptali na wengi wao hujifungua watoto waliokufa katokana na kuchelewa kufika hospitali mapema.
Tatizo jingine ni kwamba wa kinamama walio wengi maeneo haya hutumia dawa ya mitishamba kuongeza uchungu wa kujifungua kabla ya kuletwa hospitali, matokeo yake wengi wao kina mama wanashindwa kujifungua kwa njia ya kawaida (normal delivery) au hujifungua watoto waliokufa kutokana na dawa hizo wanazozitumia.
“Yaani ni tatizo kubwa sana kwa kina mama wanaokuja kujifungua hapa kutokana kutumia dawa za kienyeji za uchungu lakini huwatunawapa elimu wanapofika na kuwapa ushauri wakina mama wajawazito waweze kufika hospitalini mapema na kuacha kutumia dawa hizo za kuongeza uchungu, ambapo mara nyingi hutiwa kwenye chain a uji,” alisema muunguzi huyo wa zamu.
Lakini pamoja na hayo, hakuweza kuelezea ni dawa ya aina gani mara nyingi wa kina mama hao hutumia kama dawa ya kuongeza uchungu, na kuongeza kuwa wanatumia mizizi Fulani Fulani ambayo hakutaja aina gani ya mizizi hiyo.
Mwisho
Friday, 24 December 2010
FAMILIZATION TOUR
The President of Union of Tanzania Press Club (UTPC), Kenneth Simbaya (L) having a roundtable discussion with the Roman Catholic Benedictine Abbey of Peramiho Prior Fr. Fidelis Mligo (R) during the familization tour today. The president was accompanied by Ruvuma Press Club Executive Secretary Andrew Chatwanga (C).
UPTC President Kenneth Simbaya when was stressing a point during the familization tour when visited the Roman Catholic Benedictine Abbey of Peramiho in Ruvuma Region.
Wednesday, 22 December 2010
UFUGAJI KUKU PERAMIHO
Mwandishi wa Habari wa kujitemea na Mmiliki wa blog hii Bw. Friday Simbaya mwenye shati la draft akipata maelekezo kutoka kwa Mhudumu Bw. Komba namna ya ufugaji wa kisasa wa kuku wa mayai na wanyama katika Kitengo cha Ufugaji Kuku kilichopo Abasia ya Peramiho Songea Vijijini mkoani Ruvuma leo. Alisema kuwa wa kuku zaidi ya 3,000 hutaga mayai tray 100 kila siku. Bw. Komba alisema kuwa kuna aina tatu ya kuku ambapo ni Bovan Brown, Bovan White na Hisex kutoka Mozambique na Malawi.
Mwandishi wa Habari akimshika kuku aina ya Bovan Brown kwa kuangalia ubora wake na jinsi alivyotunzwa vizuri.
Mwandishi wa Habari akimshika kuku aina ya Bovan Brown kwa kuangalia ubora wake na jinsi alivyotunzwa vizuri.
Monday, 20 December 2010
MOVING DOMESTIC WORKERS TO THE FORMAL ECONOMY
I woke up one Saturday morning because it is usually my day-off went straight to the nearby library looking interesting books and magazines to read. Some pepole around call me 'a book worm' because i reading books and journals a lot more anything. Reading books is my everyday food.
However, reading is one of the best hobbies after swimming and travelling. While in the library i can across one magazine called ‘World of Work’ a magazine of the International Labour Organization (ILO), Geneva. As i was going through the magazine i came across a terrible story about a domestic worker from Morocco and she got troubles on doing her domestic work.
The magazine was talking about the decent work for domestic workers. This ILO guidebook promotes the rights and responsibilities of domestic workers; it explains the benefits and risks associated with domestic work.
As I was reading through that magazine I came across a certain article of A-10-Year Old girl called Sara Marbouh of Morocco in the North Africa. She was a domestic worker in Casablanca City, Capital City of Morocco. Her father had to give up work as a result of losing his eyesight and her mother decided that Sara should leave school to help the family earn a living.
“There was no end to it: washing the clothes, washing the dishes, cleaning the house etc. They woke up 6 a.m. but I had to get up before them to prepare their breakfast and I was working the all day and in the evening too, sometimes until midnight.
They all had own rooms but I slept in the kitchen my employer often hit me. One day when I was alone in the house, I went on to the family computer but when my boss arrived, she was really angry. She hit and told me to stay away from the computer and TV in future because they were not for people her background,” reads the part of the story. Now, domestic work (DW) is just a bad memory for Sara, a Moroccan girl who was able to return to school thanks to action by a teacher trade union.
Domestic work differs from other types of work in many respects. First, domestic work does not take place in factory or an office or a farm, but in the home. Moreover, it involves a degree of physical proximity with the employer and her family as well as some emotional attachment, especially when child care or careof elderly people are concerned.
Despite its growing social and economic significance, domestic workers have traditionally been, and still is, one of the most unsafe, low-paid, insecure and unprotected forms of employment. The work of caring and cleaning in the home for pay is most important occupations for millions of workers, mostly women and girls, around the world.
However, the achievement of decent work for DWs ultimately depends on their capacity to organize and engage in collective action hence ground-breaking legislation covering the rights of domestic workers.
A 2006, Tanzania Government study on labour force showed that one in five children between 5 and 17 years of age are involved in some type of hazardous work. For girls, DW is one of the main forms of exploitation. Most of them are taken to the cities by people who have gained their parents confidence by promising wages and schooling.
In practice, they often fall victim to the worst kinds of abuse: working for up to 18 hours a day, beaten and humiliated by their employers, sleeping on the floor, and denied proper food. Child domestic workers earn no more than US$12 a month- if they are paid at all.
Conservation, Hotels, Domestic and Allied Workers (CHODAWU) is trade union which has been campaigning against child domestic labour since it was founded in 1995. It is affiliated to the Trade Union Congress of Tanzania (TUCTA) and International Union of Food (IUF) at international level.
Over 6,000 children have been withdrawn from domestic labour by CHODAWU since 1995. Awareness –raising campaigns have prevented thousands more from being recruited.
In conclusion, domestic work does not take place in factory or an office, but in the home. Domestic employees do not work alongside other workers, but in isolation behind closed doors, so domestic work is often informal and undocumented.
In an important step to overcome informality let us guarantee them a minimum of social protection by introducing the ‘service cheque system ’. The system facilitates is the calculation of mandatory employment deductions of any assist payment for service rendered to their employers.
This is a typical example of domestic work done mostly by girls.
However, reading is one of the best hobbies after swimming and travelling. While in the library i can across one magazine called ‘World of Work’ a magazine of the International Labour Organization (ILO), Geneva. As i was going through the magazine i came across a terrible story about a domestic worker from Morocco and she got troubles on doing her domestic work.
The magazine was talking about the decent work for domestic workers. This ILO guidebook promotes the rights and responsibilities of domestic workers; it explains the benefits and risks associated with domestic work.
As I was reading through that magazine I came across a certain article of A-10-Year Old girl called Sara Marbouh of Morocco in the North Africa. She was a domestic worker in Casablanca City, Capital City of Morocco. Her father had to give up work as a result of losing his eyesight and her mother decided that Sara should leave school to help the family earn a living.
“There was no end to it: washing the clothes, washing the dishes, cleaning the house etc. They woke up 6 a.m. but I had to get up before them to prepare their breakfast and I was working the all day and in the evening too, sometimes until midnight.
They all had own rooms but I slept in the kitchen my employer often hit me. One day when I was alone in the house, I went on to the family computer but when my boss arrived, she was really angry. She hit and told me to stay away from the computer and TV in future because they were not for people her background,” reads the part of the story. Now, domestic work (DW) is just a bad memory for Sara, a Moroccan girl who was able to return to school thanks to action by a teacher trade union.
Domestic work differs from other types of work in many respects. First, domestic work does not take place in factory or an office or a farm, but in the home. Moreover, it involves a degree of physical proximity with the employer and her family as well as some emotional attachment, especially when child care or careof elderly people are concerned.
Despite its growing social and economic significance, domestic workers have traditionally been, and still is, one of the most unsafe, low-paid, insecure and unprotected forms of employment. The work of caring and cleaning in the home for pay is most important occupations for millions of workers, mostly women and girls, around the world.
However, the achievement of decent work for DWs ultimately depends on their capacity to organize and engage in collective action hence ground-breaking legislation covering the rights of domestic workers.
A 2006, Tanzania Government study on labour force showed that one in five children between 5 and 17 years of age are involved in some type of hazardous work. For girls, DW is one of the main forms of exploitation. Most of them are taken to the cities by people who have gained their parents confidence by promising wages and schooling.
In practice, they often fall victim to the worst kinds of abuse: working for up to 18 hours a day, beaten and humiliated by their employers, sleeping on the floor, and denied proper food. Child domestic workers earn no more than US$12 a month- if they are paid at all.
Conservation, Hotels, Domestic and Allied Workers (CHODAWU) is trade union which has been campaigning against child domestic labour since it was founded in 1995. It is affiliated to the Trade Union Congress of Tanzania (TUCTA) and International Union of Food (IUF) at international level.
Over 6,000 children have been withdrawn from domestic labour by CHODAWU since 1995. Awareness –raising campaigns have prevented thousands more from being recruited.
In conclusion, domestic work does not take place in factory or an office, but in the home. Domestic employees do not work alongside other workers, but in isolation behind closed doors, so domestic work is often informal and undocumented.
In an important step to overcome informality let us guarantee them a minimum of social protection by introducing the ‘service cheque system ’. The system facilitates is the calculation of mandatory employment deductions of any assist payment for service rendered to their employers.
This is a typical example of domestic work done mostly by girls.
Sunday, 19 December 2010
TANZANIA SHOULD BORROW A LEAF FROM EGYPT ABOUT FGM
Even though Female Genital Mutilation (FGM) is illegal in Tanzania but in some parts of the country the practice is being done underground meaning that, it is done in secrecy. Female Genital Mutilation, also known as female genital cutting or female circumcision in some parts of the world it the procedure that involves the partial removal or total of female genital parts.
Tanzania has more that 17 percent prevalence of FGM of type II and III. Section 169A of sexual offences special provisions act of 1998 (SOSPA) prohibits FGM. Punishment is imprisonment of from five to fifteen years or fine not exceeding 300,000/- or both.
There have been some arrests under this legislation but no reports of prosecutions yet. Tanzania ratified the Maputo Protocol in 2007.
The World Health Organization (WHO) describes Female Genital Mutilation (FGM) as comprising of all procedures that involve the partial or total removal of the external female genitalia, or other intentional mutilation of the female genital organs, whether for cultural or any other non-therapeutic reasons.
According to research findings on the practice of FGM in Tanzania conducted by the Legal and Human Rights Centre (LHRC) for past few years, it is estimated that about 18% of Tanzanian women undergo FGM.
However, there are two types of FGM mostly practiced in Tanzania, WHO’s defines of type II FGM is ‘partial or total removal of clitoris and the labia minora, with or without cutting out of labia maojora. Type III is narrowing the vaginal lips with creation of a covering seal by cutting and repositioning the labia minora or the labia majora with or without cutting of clitoris (infibulations).
FGM is a human rights abuse to women and girl child although it is has been accepted in some cultural of religious group but it is deep-rooted cultural and traditional values. It is practiced during initiation ceremonies when girls who have reached the age of puberty are mutilated of their genitalia. The practice is believed to be a sign of passage from childhood to adulthood. The girls are taught on the roles of women in the community.
Other reasons for the practice have been the need to control a woman’s sexual desire, so that she remains faithful to her husband; belief that the female genitalia becomes more hygienic if removed and belief that the clitoris will kill a child coming through the birth canal. There is also a belief that performing FGM on the girl child pleases the ancestors; hence will protect the family from harm. If the girl child is not circumcised, they believe harm (bad omen) will befall the family.
FGM has physical, psychological and sexual consequences. The post-FGM health issues show permanent physical damage to the girl child. There is continuous bleeding, tetanus infections because of the tools used, loss of woman’s elasticity at the vaginal opening which causes problems in childbirth. Apart from the physical damage to the girl child, there are psychological problems emanating from nightmare of the pains of mutilation.
The health model campaign defines FGM as harmful to women’s health (physical and psychological, trauma, sterility, damage to the urethra and anus, tetanus, child and maternal mortality and more recently HPV and HIV infection).
In that end the United Nations Population Fund (UNFPA) has declared February 6 as the International Day against FGM because the practice violates the basic rights of women and girls. There is need for Tanzania to borrow a leaf from Egypt, where the Ministry of Health and Population has banned all forms of female genital cutting since 2007. And it is a criminal offence for anyone found indulging in this practice and the prevalence has gone down, although in the prehistoric times the practice was rampant.
A 12-year-old Egyptian girl, Badour Shaker, died in June 2007 during or soon after a circumcision, prompting the Egyptian Health Ministry to ban the practice. She died from an overdose of anaesthesia.
The girl's mother, Zeinab Abdel Ghani, paid the equivalent of US$9.00 (£4.60 pounds sterling, €6.82 euro) to a female doctor, in an illegal clinic in the southern town of Maghagh, for the operation. The mother stated that the doctor tried to give her $3,000 to withdraw a lawsuit, but she refused.
What makes the fight against FGM is about cultural, religious and social factors but through education things can be done. There is an issue of income, where the midwives (Ngariba) collect money from the practice (FGM) to make ends meet in the rural centers. There also need to educate the community about the dangers and the side effects of carrying out FGM.
Subscribe to:
Posts (Atom)
WATOTO WAITAKA SERIKALI KUTUNGA SHERIA KALI ...
Na Friday Simbaya, Mufindi Wanafunzi wa shule za msingi na sekondari wilayani Mufindi mkoani Iringa wameiomba serikali kwa kush...
-
KIKUNDI cha Upendo ni kikundi cha kina mama 20 walioamua kujiunga kwa pamoja na kuanz...
-
Peter Mbata's the Deputy Headmaster and Amon Chota (academic master). Headmaster of Ifunda Technical School, Mpambwe Paul ...
-
Habari ndugu msomaji wetu wa blog, Natumaini unaendelea vyema. Leo tutaanza kujifunza kilimo cha bora cha nyanya, na tutaanza kufahamu vit...