Tanzania ina ungana na dunia kusherehekea siku ya kuzaliwa mkombozi wa ulimwengu. Hapa ndipo mtoto Yesu alipozaliwa katika zizi la ng'ombe Bethlehemu.
Kutoka kushoto kwenda kulia ni Kris Simbaya (Jr) na Ken Simbaya (Jr) wakiwa katika pozi ya picha maeneo ya Peramiho Songea, Mkoa wa Ruvuma.
Kutoka kushoto kwenda kulia ni Friday Simbaya, Kris Simbaya, Ken Simbaya na Lina Changwa wakiwa katika picha ya pamoja siku ya Krismas.
Mama Simbaya ambaye ni mke mpendwa wa mmiliki wa blog hii akiwa na watoto wake walipokuwa wa kisherekea siku kuu ya Krismas leo jioni.
Pamlomo24 is essentially a digital news platform that shares different types of news updates — social, political, economic, sports, entertainment, and community stories. From the context you’ve given, it is based in Iringa, Tanzania, and functions mainly as an online outlet (likely through social media such as Facebook, YouTube, or other channels) where audiences can get real-time updates.
Saturday, 25 December 2010
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...
-
Peter Mbata's the Deputy Headmaster and Amon Chota (academic master). Headmaster of Ifunda Technical School, Mpambwe Paul ...
-
KIKUNDI cha Upendo ni kikundi cha kina mama 20 walioamua kujiunga kwa pamoja na kuanz...
-
Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate ...
No comments:
Post a Comment