Wakati wa jua kali na uchovu wa kazi baada ya uzinduzi wa Daraja la umoja linaloziunganisha nchi mbili za Tanzania na Msumbiji, Mtangazaji Maarufu wa TBC Taifa (zamani RTD), Bw. Malima Ndelema akipooza uso kwa maji ya Mto Ruvuma katika eneo la Mtambaswala upande wa Msumbiji hivi karibuni.
Daraja la Umoja linalounganisha nchi mbili za Tanzania na Msumbiji lenye urefu wa kilometa moja kasoro katika Mto Ruvuma eneo la Mtambaswala ni kivutio cha kipekee katika masuala mazima ya utalii na kukuza ushirikiano kati ya nchi hizi mbili.
Ubovu wa miundombinu ya barabara katika maeneo mengi ya vijijini na mijini yanakwamisha maendeleo ya wananchi na nchi yao kiuchumi, eneo hili kama linavyoonekana mbele ya Mto Rufiji eneo la Nangulukulu Wilaya ya Rufiji Mkoa wa Pwani ni kikwazo kikubwa cha wasafiri wa maeneo ya Kusini mwa Tanzania hasa wakati wa mvua. Msururu wa magari haya ni kielelezo tosha cha hali hiyo.
Pamlomo24 is essentially a digital news platform that shares different types of news updates — social, political, economic, sports, entertainment, and community stories. From the context you’ve given, it is based in Iringa, Tanzania, and functions mainly as an online outlet (likely through social media such as Facebook, YouTube, or other channels) where audiences can get real-time updates.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...
-
Peter Mbata's the Deputy Headmaster and Amon Chota (academic master). Headmaster of Ifunda Technical School, Mpambwe Paul ...
-
KIKUNDI cha Upendo ni kikundi cha kina mama 20 walioamua kujiunga kwa pamoja na kuanz...
-
Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate ...
No comments:
Post a Comment