Wednesday, 15 September 2010

MWANDISHI AVAA KHANGA YA CCM NA BAADAYE KUPANDA GARI LA MATANGAZO YA CHAMA HICHO NA KUTOKOMEA NALO----HABARI NDIYO HIYO!








Mwandishi wa habari ambaye akufahamika jina lake mara moja amekutwa akiwa amevaa Khanga ya Chama Cha Mapindizi (CCM) katika Mkutano wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu 2010 uliyokuwa unahutubiwa na Mgombea Ubunge wa Jimbo la Temeke, Bw. Abasi Zuberi Mtemvu leo. Mkutano huo ulifanyika katika Uwanja wa MjiMpya-Tawi la Kichangani (CCM) Kata ya Azimio Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam.

No comments:

ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...