Wednesday, 15 September 2010

ABASI MTEMVU


Bw. Abasi Zuberi Mtemvu Mgombea Mbunge katika Jimbo la Temeke kupitia tiketi ya CCM (mwenye mkono juu na vazi ya kijani la CCM katikati) akilakiwa na wanacchama na wananchi katika Mkutano wa Kampeni za Uchaguzi 2010 uliyofanuika Kata ya Azimio jijini Dar es Salaam.

No comments:

ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...