Tuesday, 14 September 2010

USAILI WAANDISHI MATUMBO JOTO

Waandishi wa habari wakijisomea vijarida mbalimbali katika Ofisi ya Waandishi Mazingira (JET) jijini Dar es Salaam walipokuwa wakisubiri kuingia kwnye usaili ofisi hapa kwa ajili ya 'Exchange Programme' katika nchi za Ethiopia, Kenya, Uganda na Malawi jana.

No comments:

ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...