Tuesday, 14 September 2010

MVULANA MPIKA VITUMBUA

UGUMU wa maisha na umaskini wa wazazi wa Adam Mussa (18) wampelekea kuwa mjasliamali wa kupika vitumbua Barabara ya Kawawa Kituo cha Moroco jijini Dar es Salaam.

No comments:

ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...