Tuesday, 14 September 2010

ADHA YA USAFIRI DAR

ADHA  ya usafiri Dar es Salaam wanafunzi hawathaminiwi hii ilidhihirika jana katika Kituo cha daladala Mtoni Mtongani ambapo mwanafunzi huyu katika picha (watatu kutoka kulia) akionekana kushangaa wakati watu wazima wakigombea usafiri.

No comments:

ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...