Pamlomo24 is essentially a digital news platform that shares different types of news updates — social, political, economic, sports, entertainment, and community stories. From the context you’ve given, it is based in Iringa, Tanzania, and functions mainly as an online outlet (likely through social media such as Facebook, YouTube, or other channels) where audiences can get real-time updates.
Wednesday, 13 October 2010
KAMPENI ZA UCHAGUZI
Mgombea Udiwani Kata ya Mtwivila Mjini Iringa Bw. Vitus Mushi (kushoto) kupitia CCM akiwahutubia wanachama na wananchi wa Mtaa wa Idunda kwenye mkutano wa kampeni za uchaguzi leo jioni. Aidha, katika mkutano mgombea huyo udiwani waliwambia wananchi kuwa endapo watamchagua kuwa diwani wa kata huyo ifikapo Oktoba 31, 2010 atahakikisha anaboresha miundombinu za afya, elimu na barabara na kuongeza kuwa barabara kubwa za Kata ya Mtwivila zinawekwa rami.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...
-
Peter Mbata's the Deputy Headmaster and Amon Chota (academic master). Headmaster of Ifunda Technical School, Mpambwe Paul ...
-
KIKUNDI cha Upendo ni kikundi cha kina mama 20 walioamua kujiunga kwa pamoja na kuanz...
-
Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate ...
No comments:
Post a Comment