Monday, 8 November 2010

MANISPAA YA IRINGA


Raia wa wakigeni wakikatisha mitaa ya Soko Kuu katika Manispaa ya Iringa huku wakiangalia vitu mbalimbali zikiwemo nguo leo  mchana. Mkoa wa Iringa upenda sana kutembelewa na raia wa kigeni wengi kutokana na kuwa hali ya hewa nzuri ya kuvutia pamoja na kuwa na vivutio vingi vya utalii.

No comments:

ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...