Pamlomo24 is essentially a digital news platform that shares different types of news updates — social, political, economic, sports, entertainment, and community stories. From the context you’ve given, it is based in Iringa, Tanzania, and functions mainly as an online outlet (likely through social media such as Facebook, YouTube, or other channels) where audiences can get real-time updates.
Thursday, 11 November 2010
TANGA BATHING CLUB BEACH
Mzee Rashid Abubakari Mokiwa (Kulia) akibadilishana mawazo na mmiliki wa blog hii Bw. Friday Simbaya alipotembelea 'Tanga bathing Club' jijini Tanga leo, huku 'Kisiwa cha Tanga' kikionekana kwa mbaaaali katika Bahari ya Hindi. Mzee Mokiwa ni moja ya wahudumu wa club hiyo kwa muda mrefu sana na mwenye historia nzuri ya mahala hapa tangu enzi za wajerumani hadi leo. Ijulikane kuwa wazee kama hawa ni hazina kubwa kwa taifa letu. 'Kitunze kidumu'
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...
-
Peter Mbata's the Deputy Headmaster and Amon Chota (academic master). Headmaster of Ifunda Technical School, Mpambwe Paul ...
-
KIKUNDI cha Upendo ni kikundi cha kina mama 20 walioamua kujiunga kwa pamoja na kuanz...
-
Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate ...
No comments:
Post a Comment