Thursday, 11 November 2010

TANGA BATHING CLUB BEACH

Mzee Rashid Abubakari Mokiwa (Kulia) akibadilishana mawazo na mmiliki wa blog hii Bw. Friday Simbaya alipotembelea 'Tanga bathing Club' jijini Tanga leo, huku 'Kisiwa cha Tanga' kikionekana kwa mbaaaali katika Bahari ya Hindi. Mzee Mokiwa ni moja ya wahudumu wa club hiyo kwa muda mrefu sana na mwenye historia nzuri ya mahala hapa tangu enzi za wajerumani hadi leo. Ijulikane kuwa wazee kama hawa ni hazina kubwa kwa taifa letu. 'Kitunze kidumu'

No comments:

ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...