Monday, 10 January 2011

MUHULA WA KWANZA WA MASOMO

Wanafunzi wa Shule ya Msingi ya Peramiho 'A' Wilayani Songea, Mkoani Ruvuma wakiwa wamebeba nyenzo mbalimbali kutoka nyumbani kwa ajili ya kwenda kufanyia usafi wa mazingira shuleni kwao, ikiwa ni kuanza kwa muhula wa kwanza wa masomo jana. Wanafunzi hao wanasoma darasa la tatu, tano na la sita katika shule hiyo.

No comments:

ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...