Monday, 2 May 2011

MBUNGE AFADHILI MASHINDANO YA MEI MOSI

Mbunge wa Jimbo la Peramiho katika Wilaya Songea vijijini mkoani Ruvuma, Mhe. Jenista Mhagama akifuatilia kwa umakini mkubwa mechi kati ya wafanyakazi wa misioni (Abasia Peramiho) na watumishi wa serikali jana wakati wa maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani maarufu kama (MEI MOSI), yaliyofanyika katika viwanja vya Peramho. Wanaomfuatia ni Diwani wa Kata ya Peramiho, Izack Mwimba (katikati) pamoja na Dr. Bonus Mtega wa Hospitali ya Peramiho. Katika mechi hiyo Timu ya Abasia Peramiho iliichapa Timu ya watumishi wa serikali  mabao 4-2. (PICHA: FRIDAY SIMBAYA)

No comments:

ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...