Tuesday, 12 July 2011

MICHEZO YA KITOTO BWANA!

Watoto wa Kijiji cha Lipinyapinya Songea Vijijini, mkoani Ruvuma wakiigiza kupika kwenye makopo bila kujali hatari ya kuungua na moto kama walivyokutwa na mpigapicha leo mchana. Ni jukumu la wazazi na walezi  kuhakikisha kwamba  watoto hawachezei vitu vya hatari kama moto ili kulinda usalama wao wakati wowote.

No comments:

ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...