Monday, 15 August 2011

HII NDIO HALI HALISI YA USAFIRISHAJI WA NYAMA MJINI LUDEWA

Wakazi wa Mjini Ludewa mkoani Iringa wakisafirisha nyama  kwa kutumia
mkokoteni kutoka Machinjio ya Ibani kwenda mabuchani kwa ajili ya
walaji kuweza kununua nyama hiyo jana.

No comments:

ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...