Tuesday, 8 January 2013

ELIMU

Wanafunzi wa darasa la kwanza katika Shule ya Msingi Peramiho 'A' wilayani Songea, Mkoa wa Ruvuma wakiwa katika darasa lao na Mwalimu Katona wakiimba wimbo wa shule ikiwa ni siku ya pili tangu kuanza kwa muhula mwaka 2013.

No comments:

ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...