Thursday, 16 October 2014

Nigeria yaibwaga Zambia yaingia nusu fainali

Kikosi cha Nigeria -wanawake



Nchini Tanzania hatimaye Serikali ya Tanzania hapo ilitoa vyeti vya uraia kwa waliokuwa wakimbizi wa zamani wa Burundi zaidi ya laki moja na elfu sitini na mbili ambao wamekuwa wakiishi kwa zaidi ya miaka arobaini kama wakimbizi,hatua inayoelezwa kuwa haijawahi kufanywa na nchi yoyote Duniani.

Sanjari na hatua hiyo Serikali ya Tanzania imesema hakutakuwa na mpango wa kuwahamisha kutoka katika makazi yao ambayo wamekuwa wakiishi kwa kipindi chote hicho na kwamba kwa sasa watakuwa huru kwenda kuishi popote kama raia wengine wa Tanzania ili mradi hawavunji sheria.
Mwandishi wa BBC Erick David Nampesya na taarifa hiyo.

No comments:

ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...