
Nchini Tanzania hatimaye Serikali ya Tanzania hapo ilitoa vyeti vya uraia kwa waliokuwa wakimbizi wa zamani wa Burundi zaidi ya laki moja na elfu sitini na mbili ambao wamekuwa wakiishi kwa zaidi ya miaka arobaini kama wakimbizi,hatua inayoelezwa kuwa haijawahi kufanywa na nchi yoyote Duniani.
No comments:
Post a Comment