Saturday, 6 December 2014

MVUA NNE SI HABA MTOTO WA MWANAKUNDI YA MTAA KWA MTAA...!






Mtoto Gaileen Geofrey Ngelime ametimiza miaka minne lakini pia amekuwa wa nne hapo darasani kwao. Nina furaha kubwa kulishwa keki na Gaileen kwa niaba ya kundi ninaloliongoza nimewaakilisha.

No comments:

ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...