Thursday, 5 March 2015

AMA KWELI HUJAFA HUJAUMBIKA DUNIA INA MAMBO...!



Unaweza usiamini ila upungufu wa chembe hai nyeupe za damu ( White Blood cells), ambazo huzuia maambukizi na hutumika kama kinga ya mwili dhidi ya maradhi, hali hiyo imesababisha Kijana Dede Koswara ambaye kwasasa ana miaka 36 aliyezaliwa kama binadamu wa kawaida miguu yake na mikono kubadilika na kuwa na maumbo kama ya mti. Uzito sasa unaeleemea mikononi na miguuni hali inayofanya ashindwe kutembea vizuri


Una lipi la kumwambia jamaa. (EATV)



No comments:

ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...