Mkazi wa mji wa Makambako mkoani Njombe ambaye hakufahamika jina lake mara moja akipita karibu na maduka yaliyofungwa kufutia mgomo wa wafanyabiashara unaoendelea mkoani hapa leo asubuhi. Majuzi tena wafanyabiashara hao walifunga maduka yao zaidi saa sita na kwenda mahakamani kusikiliza kesi inayomkabili mwenzao, Maxson Sanga dhidi ya kamishna wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Dkt. Rished Badi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Njombe na leo tena wamefunga maduka yao kwenda kusikiliza kesi inayomkabili mwenyekiti wa wafanyabishara nchini John Minja. (Picha na Friday Simbaya)
Pamlomo24 is essentially a digital news platform that shares different types of news updates — social, political, economic, sports, entertainment, and community stories. From the context you’ve given, it is based in Iringa, Tanzania, and functions mainly as an online outlet (likely through social media such as Facebook, YouTube, or other channels) where audiences can get real-time updates.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...
-
Peter Mbata's the Deputy Headmaster and Amon Chota (academic master). Headmaster of Ifunda Technical School, Mpambwe Paul ...
-
KIKUNDI cha Upendo ni kikundi cha kina mama 20 walioamua kujiunga kwa pamoja na kuanz...
-
Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate ...


No comments:
Post a Comment