Wednesday, 15 July 2015

Mkurugenzi wa SUN PRE & PRIMARY English Medium School CHENGULA ajitosa Udiwani

Mkurugenzi wa SUN PRE & PRIMARY English Medium School CHENGULA NGUVU EDWARD (kulia) iliyopo katika Kata ya Mwangata Manispaa ya Iringa eneo la Ngelewala akipeana mkono na Katibu Tawi Mwanaga 'C',  Machelo  Kadebe baada ya mkurungezi hiyo kuchukua fomu ya kuwania udiwani katika kata hiyo pamoja na kutia nia wakati kiongea na SIMBAYABLOG mchana leo.




Hii ni ofisi wa Kata ya Mwangata iliyokarabatiwa na Mkurugenzi wa SUN PRE & PRIMARY English Medium School CHENGULA NGUVU EDWARD pamoja kujenga choo hapo nyuma.

No comments:

ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...