Thursday, 16 July 2015

MWANAHABARI FRANK KIBIKI ACHUKUA RASMI FOMU YA UBUNGE LEO


MWANAHABARI Frank Kibiki achukua rasmi fomu ya kuomba ateuliwe kuwania ubunge wa jimbo la Iringa mjini kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM), leo.

No comments:

ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...