Wednesday, 12 August 2015

MODEWJI BLOG YARUDI HEWANI BAADA YA KWIKWI YA MASAA 45




Baada ya kwikwi ya saa takribani 48 wataalamu wa Modewji blog wanakurejeshea hewani Blog yako pendwa.

Watundu wanaovuruga mambo mtandaoni (hackers) walijaribu kuimiliki blog hii kwa kufanya majaribio zaidi ya mara 300 yaliyosababisha mifumo ya kiusalama, kufanyakazi ya ziada kuihami Modewjiblog.

Hata hivyo wataalamu wetu wameziba mianya iliyokuwa imesababisha hali hiyo na sasa tupo pamoja nanyi.

Tunashukuru kwa uvumilivu wenu, tuko pamoja na endelea kuperuzi nasi.

Kwa mawasiliano zaidi tutumie email: info@modewjiblog.com

Imetolewa na Operation Manager, Zainul Mzige.





No comments:

ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...