Wednesday, 23 September 2015

DKT. MAGUFULI APIGA PUSH UP JUKWAANI, NI WAKATI AKINADI SERA NGARA

MGOMBEA kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli, akipiga pus up jukwaani wakati akinadi sera kwenye mfululizo wa kampeni mkoani Kagera jana.

No comments:

ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...