Thursday, 3 September 2015

Mgombea Mwenza CCM Mama Samia Suluhu Apiga Kampeni ya Nguvu Temeke Jijini Dar es Salaam

Mgomea Mwenza wa Urasi kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akihutubia maelfu ya wananchi katika mkutano wake wa kampeni aliofanya leo katika Kata ya Buza, jimbo la jijini Dar es Salaam. Picha na Bashir Nkoromo


No comments:

ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...