Thursday, 8 October 2015

IPC CHA ANDAA MDAHALO KWA WAGOMBEA



Mwenyekiti wa chama cha wanahabari mkoani Iringa (IPC) Frank Leonard ameongea na waandishi wa habari kuhusiana na maadalizi ya mdahalo kwa wagombea wote wa vyama vya siasa sita katika jimbo la iringa mjini.  (Picha na Friday Simbaya)

Hata hivyo amesema kwamba wagombea wote wa ngazi za ubunge watashiriki mdahalo utakaofanyika siku ya jumapili katika ukumbi wa highlands hall kuanzia saa sita mchana hadi saa tisa alasiri . 

Amesema kuwa vyama vya siasa vilivyothibitisha kushiriki ni pamoja na CCM, CHADEMA, ADC, ACT,DP NA CHAUSTA na katika vyama hivyo wabunge wameruhusiwa kuja na wanachama 50 kwa kila chama.

Aidha ametoa wito kwa wanachama wote ambao watafika katika ukumbi huo wasiwe na wasiwasi kutakuwa na ulinzi wa kutosha na kila mgombea ataweza kutoa sera zake.

No comments:

ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...