Friday, 16 October 2015

MKUU WA MKOA WA IRINGA AKIONGEA NA WAANDISHI WA HABARI



Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Amina Masenza akiongea na wanahabari wa Mkoa wa Iringa leo katika Ukumbi wa Mkuu wa Mkoa kuzungumzia mwenendo mzima wa kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba mwaka huu pamoja na kuzungumzia maandalizi wa Uchaguzi Mkuu na usalama.

No comments:

Tanzania Marks International Day Of The Girl Child With A Call To Protect And Empower Girls

Iringa. Tanzania has joined other nations around the world in marking the climax of the International Day of the Girl Child , commemorated...