Tukio lililotoka kujili mda si mrefu hapa Mjini Mafinga, hawa ni wafanyakazi wa kampuni ya kichina ambayo inaitwa ccce inayojenga kipande cha barabra kuanzia Mafinga Hosptal mpaka Nyololo kwa kiwango cha lami. wafanyakazi hawa wamegoma kwa siku ya pili leo wakadai stahiki zao, ikiwa ni pamoja na mikataba yao ya kazi, kiwango duni cha mishahara yao pamoja na ukosefu wa sera za usalama mahala pa kazi, nilikuwa nikipita eneo hili jioni nikitokea jijini Mbeya, watu hawa waliona na kunisihii niambatane nao kusikiliza kero zao.......
Pamlomo24 is essentially a digital news platform that shares different types of news updates — social, political, economic, sports, entertainment, and community stories. From the context you’ve given, it is based in Iringa, Tanzania, and functions mainly as an online outlet (likely through social media such as Facebook, YouTube, or other channels) where audiences can get real-time updates.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...
- 
Peter Mbata's the Deputy Headmaster and Amon Chota (academic master). Headmaster of Ifunda Technical School, Mpambwe Paul ...
 - 
Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate ...
 - 
KIKUNDI cha Upendo ni kikundi cha kina mama 20 walioamua kujiunga kwa pamoja na kuanz...
 


No comments:
Post a Comment