Monday, 7 December 2015

WAFANYAKAZI WA BARABARA MAFINGA WAGOMA KUDAI STAHIKI ZAO...!




Tukio lililotoka kujili mda si mrefu hapa Mjini Mafinga, hawa ni wafanyakazi wa kampuni ya kichina ambayo inaitwa ccce inayojenga kipande cha barabra kuanzia Mafinga Hosptal mpaka Nyololo kwa kiwango cha lami. wafanyakazi hawa wamegoma kwa siku ya pili leo wakadai stahiki zao, ikiwa ni pamoja na mikataba yao ya kazi, kiwango duni cha mishahara yao pamoja na ukosefu wa sera za usalama mahala pa kazi, nilikuwa nikipita eneo hili jioni nikitokea jijini Mbeya, watu hawa waliona na kunisihii niambatane nao kusikiliza kero zao.......



No comments:

ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...