Monday, 9 May 2016

UVUNJAJI WA SHERIA



Pamoja kwamba kuna kibao kinachokataza kutofanya  shughuli zozote zile katika ofisi ya maliasili na utalii,  wananchi hao walikutwa wakutenganeza gari eneo hilo bila kujali ilani ya kibao kama mpigapicha wetu alivyowakuta wakifanya shughuli katika Mtaa ya Ujasili (Ujasili Road) Mlangege Gereji Manisapaa ya Iringa, mkoani Iringa.

No comments:

ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...