Monday, 28 November 2016

RAIS IDRISS DEBY WA CHAD AONDOKA NCHINI


Mwenyekiti wa sasa wa Umoja wa Afrika, (AU), Rais Idriss Deby wa Chad, akipunga mkonowakati akisindikizwa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam leo ambapo ameondoka nchini baada ya ziara yake yakikazi. (PICHA NA OFISI YA WAZIRI MKUU)




No comments:

ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...