Monday, 19 December 2016

KIKAO CHA TATHMINI YA MAONESHO YA UTALII KARIBU KUSINI KINAENDELEA...



Mjumbe na Mmliki wa Hilltop Lodge iliyopo karibu na Hifadhi ya Wanyampori Ruaha (RNP), Alban Lutambi akichangia mada wakati wa Kikao cha Tathmini Ya Maadhimisho Ya Kitaifa Ya Siku Ya Utalii Duniani Pamoja Na Maadhimisho Ya Utalii Karibu Kusini kulichofanyika mjini Iringa Leo. (Picha Na Friday Simbaya)









Wajumbe wakifuatilia kikao cha tathmini ya maonesho ya utalii karibu kusini kinachofanyika ukumbi wa Siasa ni Kilimo mjini Iringa.

No comments:

ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...