Friday, 2 December 2016

MAJADILIANO KWA KUTUMIA PICHA










Washiriki katika Warsha ya siku mbili ya Shirika la WWF kupitia Programu ya Maji Ruaha (RWP) inayohusu shughuli za mradi bonde dogo la Mbarali na mkakati wa uendelezaji wake inayofanyika mji mdogo wa Makambako mkoani Njombe wakifanya majadiliano ya picha. (Picha zote na Furaha Eliab)




No comments:

ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...