Friday, 2 December 2016

MDAHALO




Afisa Ardhi Mwandamizi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa, Fred Mgeni akikusanya maoni ya wananchi juu ya hutatuzi wa migogoro ya ardhi vijijini wakati wa madahalo ulioandaliwa na shirika lisilo la kiserikali la TAGRODE la mkoani Iringa kwa kushirikiana shirika la PELUM Tanzania hivi karibuni. (PICHA NA FRIDAY SIMBAYA)



No comments:

ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...