Thursday, 1 December 2016

WARSHA YA PROGRAMU YA MAJI RUAHA KUHUSU SHUGHULI ZA MRADI BONDE LA MBARALI





Afisa Maendeleo ya Jamii kutoka Bodi ya Maji Bonde la Rufiji (RBWB), Magreth Dionsi akielezea Sera ya Maji ya 2002 watika wa warsha ya siku mbili ya Programu ya Maji Ruaha (RWP)kuhusu shughuli za mradi bonde dogo la Mbarali na mkakati wa uendelezaji wake inayoratibiwa na shirika la WWF. Warsha hiyo inafanyika katika mji mdogo wa Makambako mkoani Njombe.



Afisa Maendeleo ya Jamii Bodi ya Maji Bonde la Rufiji (RBWB), David Muginya akielezea Sheria ya Maji Na 11, 2009  watika wa warsha ya siku mbili ya Programu ya Maji Ruaha (RWP) kuhusu shughuli za mradi bonde dogo la Mbarali na mkakati wa uendelezaji wake inayoratibiwa na shirika la WWF. Warsha hiyo inafanyika katika mji mdogo wa Makambako mkoani Njombe.










No comments:

ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...