Friday, 24 November 2017

TANZIA: MBUNGE WA SONGEA MJINI AFARIKI DUNIA

Mbunge wa Songea Mjini Mhe Leonidas Tutubert Gama amefariki dunia jana usiku katika Hosipitali ya Misheni ya Peramiho ambako alipelekwa kwa matibabu. Mungu mpumzishe kwa amani  Leonidas T Gama Amina

No comments:

ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...