Monday, 6 November 2017

TUME YA UCHAGUZI YATEUA MADIWANI CHADEMA


Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeteua madiwani wanawake wa viti maalum wote wakitoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).


Walioteuliwa ni Maimuna Mpogole na Rehema Mbetwa wote wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa na Anna Mandary wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro.




No comments:

ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...