Thursday, 23 April 2015

KATIBU WA CCM MKOA WA IRINGA HASSAN MTENGA AENDELEA KUVURUNGA MIPANGO YA WAPINZANI KATIKA JIMBO LA ISMANI




katibu wa CCM mkoa wa iringa HASSAN MTENGA akiwahutubia wananchi wa tarafa ya pawaga.





katibu wa CCM mkoa wa iringa HASSAN MTENGA akijibu maswali ya wananchi wa tarafa ya pawaga.





katibu wa CCM mkoa wa iringa HASSAN MTENGA akiwapa vifaa vya michezo wananchi wa tarafa ya pawaga






na fredy mgunda,pawaga


katibu wa chama cha mapinduzi mkoa wa iringa hassani mtenga amewataka wananchi wa tarafa ya pawaga katika jimbo la isimani kuendelea kumwamini mbunge wa jimbo hilo kwa kuwa anawatendea haki kwa kuwaletea maendeleo.

KITABU CHA 'THE 7 HABITS OF HIGHLY EFFECTIVE PEOPLE' CHAZINDULIWA UPYA KWA LUGHA YA KISWAHILI




Ofisa Mtendaji Mkuu wa NFT Consult/Franklin Covey, Badru Ntege (kulia) akimwonyesha kitabu cha "The 7 Habits of highly effective People" kilichotafsiriwa kwa lugha ya Kiswahili kwa mara ya kwanza nchini Tanzania mgeni rasmi Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Nehemia Mchechu mara baada ya kuwasili kwenye uzinduzi huo uliofanyika jana jijini Dar es Salaam katika hoteli ya Serena.(Picha zote na Zainul Mzige wa Modewjiblog).


Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Nehemia Mchechu (kushoto) akipitia kurasa mbalimbali za kitabu hicho kabla ya uzinduzi rasmi. Kulia ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa NFT Consult/Franklin Covey, Badru Ntege.

Wednesday, 22 April 2015

BILLIONAIRE MO TO GIVE AWAY $100M THROUGH MODEWJI FOUNDATION



Mohammed Dewji, head of the $1.25bn MeTL Group and an MP in Tanzania, is set to launch a foundation in May to give away $100m of his fortune.

Dewji – ranked 31st richest person in Africa last year by Forbes – plans to gift around $2m from his fortune to the Mo Dewji Foundation on its launch, gradually building up the endowment fund to some $100m, he told Philanthropy Age.

UZINDUZI WA VIDEO YA WIMBO MPYA WA LADY JAYDEE FT MAZET & UHURU KUFANYIKA M.O.G BAR & RESTAURANT IJUMAA


IMG-20150421-WA0000

MAGAZETI LEO JUMATANO


DSC01634
DSC01635
DSC01636
DSC01637
DSC01638
DSC01639
DSC01640
DSC01641
DSC01642
DSC01643
DSC01644
DSC01645
DSC01646
DSC01647
DSC01648
DSC01650
DSC01651

Monday, 20 April 2015

Kada CCM atinga na chopa ya Ndesa mkutanoni Moshi


Moshi. Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Buni Ramole anayewania Ubunge Jimbo la Moshi Mjini, juzi alitinga mkutanoni na helkopta inayomilikiwa na Mbunge wa Moshi mjini, Philemon Ndesamburo (Chadema).
Ramole alitua na usafiri huo saa 10.37 jioni katika viwanja vya Pasua mjini hapa.

WIFE SUES HUSBAND OVER ABNORMAL SEX..!


A FIFTY-YEAR-OLD woman of Lusaka’s Zingalume Township has sued her husband for divorce, alleging that he takes sex boosters which make him have sex with her all-night long.

MCHUNGAJI MSIGWA NA MKUU WA WILAYA YA IRINGA WASIKILIZA KILIO CHA MBOMIPA



Mchungaji Peter Msigwa akipokea kilio cha wanajumuiya hao, kushoto kwake ni Diwani wa Idodi, Onesmo Mtatifikolo



wanajumuiya wakimsubiri mkuu wa wilaya ya Iringa, nje ya ofisi yake

Mkuu wa Wilaya ya Iringa, Angelina Mabula

WAZIRI Kivuli wa Malisiali na Utalii, Mchungaji Peter Msigwa na Mkuu wa Wilaya ya Iringa, Angelina Mabula wamepokea kilio cha vijiji vinavyounda Jumuiya ya Hifadhi ya Mali Hai Tarafa ya Idodi na Pawaga (Mbomipa) na kuahidi kukifanyia kazi katika kipindi kifupi kijacho.


Wakati Mchungaji Msigwa ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini (Chadema) ameahidi kupeleka kilio hicho katika bunge la Mei, mwaka huu, Mkuu wa wilaya ameahidi kuyafanyia kazi baadhi ya malalamiko ya wanajumuiya hao dhidi ya viongozi wao na mmoja kati ya wawekezaji wake, Kilombero North Safaris katika kipindi cha siku saba kuanzia jumatatu.(BONGOLEAKS)

Friday, 17 April 2015

JIMBO LA SHINYANGA LAPATA ASKOFU MPYA..!




Mwanzoni mwa Mwezi Februari Baba Mtakatifu Francisko alimteua Monsinyori Liberatus Sangu kutoka Jimbo Katoliki la Sumbawanga, kuwa Askofu mpya wa Jimbo Katoliki la Shinyanga, Tanzania ambapo baadaye Jumapili iliyopita (tarehe 12/04/2015) aliwekwa wakfu na kusimikwa jimboni humo.

HISTORIA FUPI YA SKOFU MTEULE, LIBERATUS SANGU


Alizaliwa Februari 19, 1963 katika kijiji cha Mwanzye Jimbo Katoliki la Sumbawanga.
Baada ya kumaliza masomo ya Falsafa katika Seminari Kuu Kibosho Jimbo Katoliki Moshi na Teolojia katika Seminari Kuu ya Segerea Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam, alipewa Daraja la Upadri Julai 9, 1994.

UVCCM IRINGA WAMPA NGUVU KATIBU WA MKOA HASSAN MTENGA KUKOMBOA JIMBO LA IRINGA MJINI


Mtenga katika kikao na baadhi ya vijana hao













KIU ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Manispaa ya Iringa kukomboa jimbo la Iringa Mjini katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu inazidi kuongezeka, baada ya umoja wake wa vijana (UVCCM Manispaa ya Iringa) kuahidi kuongeza nguvu ili kuufanikisha mkakati huo.


CCM ililipoteza jimbo hilo katika Uchaguzi Mkuu wa 2010 kwa Mchungaji Msigwa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) anayekaribia kumaliza muda wake.


Katika kikao kilichozikutanisha sekretarieti za umoja huo kutoka katika kata zote 18 za manispaa ya Iringa, Mwenyekiti wa UVCCM wa manispaa hiyo, Kaunda Mwaipyana alisema; “katika kukisaidia chama kushinda uchaguzi huo, kauli mbiu yetu ni chama kwanza mtu baadaye.”

WATOTO WAITAKA SERIKALI KUTUNGA SHERIA KALI ...

Na Friday Simbaya, Mufindi  Wanafunzi wa shule za msingi na sekondari wilayani Mufindi mkoani Iringa wameiomba serikali kwa kush...