Sunday, 2 August 2015

MTOTO WA MAMA NTILIE JUMAA AWESO ASHINDA KWA KISHINDO UCHAGUZI WA NDANI CCM PANGANI


Ndugu Jumaa Aweso.

Na Mohammed Hammie, Pangani, Tanga

Mtoto wa mama ntilie mwenye uzao halisi kutoka wilayani Pangani mkoani Tanga, Ndugu Jumaa Aweso (pichani) ameibuka na ushindi wa kishindo katika uchaguzi wa ndani wa chama cha mapinduzi CCM.

Akitangaza matokeo ya uchaguzi huo katibu wa CCM wilayani Pangani Bi Zaina Mlawa amesema kuwa, katika uchaguzi huo uliowashirikisha wagombea wapatao kumi na moja, Ndugu Aweso amekuwa wa kwanza miongoni mwa wagombea hao.

MWAKALEBELA, LUKUVI NA MGIMWA NDANI Y NYUMBA...!



MKUU wa wilaya ya Wanging’ombe, Frederick Mwakalebela ameibuka kidedea katika kura za maoni za kutafuta kuteuliwa kugombea ubunge jimbo la Iringa Mjini kwa kuwabwaga vibaya washindani wenzake 12. (Picha na Friday Simbaya)


Iringa: ZOEZI la kuhesabu kura za kuwania ubunge kwa tiketi ya chama cha mapinduzi CCM Mkoa wa Iringa kwa majimbo matatu limeendelea vizuri.

Jimbo la Iringa Mjini.

Jimbo la Iringa mjini lilikuwa na wagombea 13 ambao ni Fredrick
Mwakalebela ameshinda kwa kura 40388, Jesca Msambatavangu 2077, Yahaya Msigwa 1097, Augustine Mahiga 745, Mahamood Madenge 423, Addo Mwasongwe ,259, Nuru Hepautwa 191, Frank Kibiki 183, Maiko Mlowe 183, Fales Kibasa171, Kiponda Stephen 135 Mwanilwa Joseph 79 na Adelino Gwilino 66.  Jumla ya kura z zilikuwa 10,216 ,zilizoharibika 220 kura halali 9997.


Jimbo la kalenga

Wagombea ubunge Kwenye Jimbo la kalenga walikuwa watano ambao ni Abbas Kandoro alipata kura 674, Jackson Kiswaga kura 3,439, Brayson Kibasa kura 289, George Mlawa kuwa 301, na Geofrey Mgimwa kura 15550. Jumla zilikuwa kura 22,253 na zilizoharibika zilikuwa kura 32.

DOSARI YAJITOKEZA KURA ZA MAONI UBUNGE JIMBO LA IRINGA MJINI, MGOMBEA ATAKA MCHAKATO USITISHWE


frank Kibiki ambaye pia ni Mwanahabari wa Magazeti ya Uhuru na
Mzalendo wa mkoani 




frank Kibiki akionyesha walivyo kosea jina lake. 



na mwandishi wetu,iringa

WAKATI kura za maoni za kutafuta wagombea ubunge katika majimbo yote nchini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) zimekipigwa jana, mmoja kati ya wagombea 13 wanaotafuta nafasi hiyo Jimbo la Iringa Mjini, Frank Kibiki anataka zoezi hilo jimboni humo libatilishwe.

Saturday, 1 August 2015

Social workers urged to work in collaboration with different stakeholders to promote dignity and rights of people in the community


Participants pose for group photo together with Iringa Regional Administrative Secretary (RAS), Wamoja Ayub (in veil seated)   during a two-day academic symposium held in Iringa Region through the USAID-supported Community Health and Social Welfare System Strengthening (CHSS) Program in Tanzania. It was organized by Tanzania Association of Social Workers (TASWO) together with John Snow Incorporation (JSI) Tanzania. (Photo: Friday Simbaya)

Tanzanian Albinism Society (TAS) chairperson for Iringa Region, Helen Machibya speaking to journalists  on the sideling of a two-day academic symposium held in Iringa Region through the USAID-supported Community Health and Social Welfare System Strengthening (CHSS) Program in Tanzania. It was organized by Tanzania Association of Social Workers (TASWO) together with John Snow Incorporation (JSI) Tanzania. (Photo: Friday Simbaya)





By Friday Simbaya, Iringa

The Acting Commissioner for Social Welfare, Rabikira Mushi as congratulated the organizers for coming up with the theme that captures the challenges facing the community, particularly people with disabilities and stigma to people with albinism.

TANAPA KUKUSANYA ZAIDI YA 2.5BN/- KAMPENI YA KUHAMASISHA UTALII YA NDANI


Kushoto kwenda kulia ni Afisa Utalii Nyanda za Juu Kusini Gervas Mwashimaha,  Ofisa Utalii wa Tanapa wa ofisi ya Utalii Kanda ya Nyanda za Juu Kusini Risala Kabongo, Kaimu Meneja Masoko TANAPA Victor Ketansi na Afisa Mawasiliano Mwandamizi TANAPA Catherine Mbena wakiongea na wanahabari mkoani Iringa jana. (Picha na Friday Simbaya)

SHIRIKA la Hifadhi za Taifa (TANAPA) kupitia hifadhi zake 16 linakusudia kukusanya zaidi ya 2.5bn/- katika kampeni ya kuhamasisha watu kutembelea hifadhi za taifa ili kuhamasisha utalii wa ndani, yeney kauli mbiu yake, “Tembelea Hifadhi Uzawadike.”

Kaimu Meneja Masoko TANAPA, Victor Ketansi akiongea na waandishi mkoani Iringa jana iliweka msisitizo katika kutangaza na kuhamasisha utalii wa ndani ili kupunguza utegemezi kwa watalii wa kigeni. 

ALBINO 43 WAMEUAWA NCHINI KATIKA KIPINDI CHA MIAKA KUMI ILIYOPITA




Kamishna Msaidizi wa Polisi toka ofisi ya Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai, Hussein Kashindye amesema kati ya mwaka 2006 na 2015 kulikuwa na matukio 56 yanayohusisha walemavu wa ngozi kuuawa au kujeruhiwa.

“Katika matukio hayo, 43 yalihusisha watu kuuawa na 13 kujeruhiwa. Katika kipindi hicho watu 12 walihukumiwa kunyongwa kwa makosa hayo na kesi nyingine 12 zipo kwenye hatua ya upelelezo huku nyingine zikitupiliwa mbali baada ya kukosekana kwa ushahidi” alisema.

Akiwasihi watanzania wote kushiriki katika mkakati wa kuwanusuru walemavu hao, Kashindye alisema suala la kuwalinda albino linatakiwa kuzingatia polisi jamii kwa kuanzia ngazi ya familia, kata, tarafa wilaya na mkoa.

Hivi karibuni Chama cha Wataalamu wa Ustawi wa Jamii (TASWO) kimefanya kongamano kubwa mjini Iringa lililowajengea uwezo wataalamu wa ustawi wa jamii nchini katika utetezi, ulinzi wa haki na ustawi wa watu wenye ulemavu hususani walemavu wenye ualbino.

WANACHAMA zaidi ya 18, 000 wa CCM jimbo la Iringa Mjini kuamua leo

Katibu wa CCM wa Manispaa ya Iringa, Elisha Mwampashi (kulia) akiongea na wanahabari kuhusu mchakato upigajikura za maoni kwa waombaji 13 waliojitokeza kutafuta ridhaa ya chama hicho ili wapeperushe bendera ya ubunge katika Jimbo la Iringa Mjini jana. Kushoto ni Mweneyekiti wa CCM wa Manispaa ya Iringa, Abeid Kiponza.

WANACHAMA zaidi ya 18, 000 wa Chama cha Mapinduzi (CCM) jimbo la Iringa Mjini leo wanatarajiwa kujitokeza kwa wingi wao kuwapigia kura waombaji 13 waliojitokeza kutafuta ridhaa ya chama hicho ili wapeperushe bendera ya ubunge katika Jimbo la Iringa Mjini.

Kura hizo za maoni zinafanyika baada ya wagombea hao kutumia siku 12 kuzunguka katika matawi 81 ya chama hicho kunadi sera zao ikiwa ni azma ya kila mgombea kutafuta kuungwa mkono ili achaguliwe kuwania ubunge katika jimbo hilo.

Friday, 31 July 2015

SOYA FARMERS ADVISED TO USE SIMPLE TECHNOLOGY TO PROCESS THE CROP



By Friday Simbaya, Njombe

SOYBEANS farmers in the Southern Highlands regions have been advised to use simple technology for processing their crops which will add value to their products and raise the income from soybeans production.

For so long farmers have been selling soybeans as unfinished goods or raw materials which deprive economic benefits of raising income from soybeans production which force them to sell it (soybeans) at a throw away price.

Hosanna Ngonyani is one of the local products processor told the Guardian yesterday and explained how soybeans is cultivated and the products resulting from soya beans including milk production, cakes, cupcakes and animal feeds has begun to keep pace but there have been numerous obstacles of lack of reliable market for the crop. 

According to an international non-profit agricultural research- for-development (R4D) organization called International Institute of Tropical Agriculture (IITA) under the N2 Africa project has launched a women training program for farmers in regions of southern highlands on how to process soybeans products using simple technology to help raise the income of farmers.

Serapia Muhanji-Coordinator of Soybeans legume is money project from International Institute of Tropical Agriculture (IITA) said due to lack of market of soybeans in the country farmers were unable to raise the income from soybeans production.

“N2 Africa is the project of Putting Nitrogen to work for smallholder farmers in Africa,” said the coordinator. 

The N2AFRICA project is a large scale, science-based “research-in-development” project focused on putting nitrogen fixation to work for smallholder farmers growing legume crops in Africa.

IITA is an international non-profit agricultural research- for-development (R4D) organization established in 1967, governed by a Board of Trustees, and a member of the CGIAR Consortium through its global Climate Change, Agriculture and Food Security ... International Center for Tropical Agriculture. 

On his part, Agricultural officer for Njombe Town Council, Ernest Ngaponda the market of soya exist in neighboring Zambia and Malawi were there are various processing plants for soya.

He said that denies farmers a reliable and urged them to learn how to add value for their processed products

End





GARI LA KUBEBEA MAJENEZA LA KIPEKEE LAINGIA NCHINI



Pichani juu na chini ni muonekano wa Gari maalum la kukodisha kwa ajili ya shughuli za kubebea majeneza katika misiba limeingia nchini.

Kwa wanaohitaji kukodi kwa shughuli za misiba wanaweza kuwasiliana kupitia barua pepe kiwiaadavidson@hotmail.com au simu namba +255 715 213213, +255 713 616606 na +255 784616606 






Muonekano wa ndani sehemu maalum linapowekwa jeneza.

MSIMU MPYA WA KANDANDA NDANI YA DSTV KUTIMUA VUMBI WIKI IJAYO



Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Multichoice Tanzania, Barbara Kambogi, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa utambulisho wa msimu mpya wa kandanda kwa wateja wa DStv jana jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Afisa Masoko wa Multichoice Tanzania, Furaha Samalu na kulia ni Meneja Mwendeshaji wa Multichoice Tanzania, Ronald Baraka Shelukindo.(Picha zote na Zainul Mzige wa modewjiblog).


Meneja Uendeshaji wa Multichoice Tanzania, Ronald Baraka Shelukindo, akijibu maswali ya waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusiana na huduma za DStv. Kushoto ni Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Multichoice Tanzania, Barbara Kambogi.


Afisa Masoko wa Multichoice Tanzania, Furaha Samalu, akielezea huduma za kuunganishwa kwa wateja wapya wa DStv, ambapo ving'amuzi pamoja na dishi vinapatikana kwa gharama nafuu kabisa ya Sh.99,000/- kwa mawakala wote wa DStv nchini. 


Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Multichoice Tanzania, Barbara Kambogi (wa pili kushoto) akikabidhi zawadi ya begi kwa mwandishi wa habari, Joseph Michael baada ya kuchezesha droo kwa waandishi waliohudhuria mkutano huo. Wanaoshuhudia kushoto ni Afisa Masoko wa Multichoice Tanzania, Furaha Samalu na kulia ni Meneja Uendeshaji wa Multichoice Tanzania, Ronald Baraka Shelukindo.


Furaha Samalu na Barbara Kambogi wakikabidhi zawadi ya begi Super Sport kwa mpiga picha wa ITV, Abdallah Kaniki aliyeibuka mshindi katika droo iliyochezeshwa na Multichoice Tanzania wakati wa mkutano na waandishi wa habari. Kulia Meneja Uendeshaji wa Multichoice Tanzania, Ronald Baraka Shelukindo.


Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Multichoice Tanzania, Barbara Kambogi akikabidhi zawadi ya T-shirts kwa mwandishi wa habari wa gazeti la Mwananchi, Imani Makongoro.


Baadhi ya waandishi wa habari waliohudhuria mkutano huo uliofanyika jijini Dar es Salaam.

Na Andrew Chale

Msimu mpya wa Soka 2015/16, unatarajia kuanza rasmi Jumapili ijayo kwa kushuhudia ligi mbalimbali Duniani zikichezwa na kurushwa moja kwa moja kupitia SuperSport ambayo imejipanga kukuletea burudani kabambe kwa mashabiki wa soka barani Afrika.

WATOTO WAITAKA SERIKALI KUTUNGA SHERIA KALI ...

Na Friday Simbaya, Mufindi  Wanafunzi wa shule za msingi na sekondari wilayani Mufindi mkoani Iringa wameiomba serikali kwa kush...