Kesho ni Siku Kuu ya Wafanyakazi duniani (Mei Mosi), ambapo timu ya soka ya wafanyakazi wa misioni Peramiho itamenyana na timu ya watumishi wa serikali katika viwanja vya Peramiho wilayani Songea, mkoani Ruvuma, ikiwa ni sehemu yao ya maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani. Pia timu ya wanawake ya mpira wa Pete (Netball) ya Peramiho vile vile itashuka dimbani kumenyana na timu ya wafanyakazi wa serikali katika mechi zitakazoanza Saa Kumi jioni. Mgeni Rasmi anatarajia kuwa Mbunge wa Jimbo la Peramiho, Mhe. Jenister Mhagama (CCM) akiambatana na viongozi wengine chama hicho na viongozi serikali.
Pamlomo24 is essentially a digital news platform that shares different types of news updates — social, political, economic, sports, entertainment, and community stories. From the context you’ve given, it is based in Iringa, Tanzania, and functions mainly as an online outlet (likely through social media such as Facebook, YouTube, or other channels) where audiences can get real-time updates.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...
-
Peter Mbata's the Deputy Headmaster and Amon Chota (academic master). Headmaster of Ifunda Technical School, Mpambwe Paul ...
-
KIKUNDI cha Upendo ni kikundi cha kina mama 20 walioamua kujiunga kwa pamoja na kuanz...
-
Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate ...
No comments:
Post a Comment