Monday, 24 November 2014
Sunday, 23 November 2014
Choo bora na Mikono safi kwa afya bora utu na usawa
Mkazi wa Kijiji cha Ifunda,
Wilaya ya Iringa, mkoani Iringa Richard Ng’onda amesema vyoo bora katika kijiji
chao itakuwa ni ndoto za mchana kutokana na ukosefu wa huduma ya maji safi na
salama.
MTAA KWA MTAA, HAPA NI MTAA WA IDUNDA...!
Tax collections up in Iringa
Mfanyabiashara maarufu mkoani Iringa Salim Asas akionyesha cheti baada ya kuongoza kwa kundi la walipa kodi wakubwa kwa kipindi cha miaka mitatu mfululizo wakati wa kilele cha maadhimisho ya nane ya siku ya mlipakodi. (Picha na Friday Simbaya)
Walipa kodi na wadau mbalimbali wakiwa katika maandamano kutoka ofisi za TRA mkoa wa Iringa hadi Ukumbi wa IDYDC Multipurpose Hall jana wakati wa kilele cha maadhimisho ya nane ya siku ya mlipakodi. (Picha na Friday Simbaya)
Tax
collections in Iringa Region has increased considerably in 2013/14
financial year to Sh35.63 billion from the previous record of Sh29.04
billion in 2012/2013 financial year, being a 22.7 percent increase.
Saturday, 22 November 2014
Friday, 21 November 2014
SIKU YA CHOO DUNIANI, SIKU YA UNAWAJI MIKONO DUNIANI NA WIKI YA USAFI TANZANIA
MMOJA ya wakazi wa Kitongoji
cha Mpwapwa, Kijiji cha Kihanga katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa akinawa
mikono kwa sabuni kutoka kwenye kibuyu mchirizi. Kitongoji hicho kimefikia
hatua ya kutangazwa kuwa kitongoji kisichotupa kinyesi ovyo (Open Defecation
Free Sub- village) na kuzawadiwa vifaa vya ujenzi (bati 10 na saruji mifuko 8) vyenye
thamani ya laki tatu. Awali timu wa wataalamu toka sekretarieti ya mkoa pamoja
na timu ya wataalamu kutoka halmashauri zote katika mkoa zilifanya ziara ya
mafunzo katika maeneo mbalimbali yanayofanya vizuri katika uboreshaji wa huduma
za maji, afya na usafi wa mazingira. (PICHA NA FRIDAY SIMBAYA)
PF GAME OF THRONES, THE SUSPENSION LETTER IN FULL & REASONS BEHIND THE DECISION

In reading the suspension letter, PF Member of the Central Committee from Central Province Benson Chali clarified that Dr. Guy Scott had been suspended from the party but would continue in his state capacity as Acting President of the Republic of Zambia.
Subscribe to:
Posts (Atom)
WATOTO WAITAKA SERIKALI KUTUNGA SHERIA KALI ...
Na Friday Simbaya, Mufindi Wanafunzi wa shule za msingi na sekondari wilayani Mufindi mkoani Iringa wameiomba serikali kwa kush...
-
KIKUNDI cha Upendo ni kikundi cha kina mama 20 walioamua kujiunga kwa pamoja na kuanz...
-
Peter Mbata's the Deputy Headmaster and Amon Chota (academic master). Headmaster of Ifunda Technical School, Mpambwe Paul ...
-
Habari ndugu msomaji wetu wa blog, Natumaini unaendelea vyema. Leo tutaanza kujifunza kilimo cha bora cha nyanya, na tutaanza kufahamu vit...