Na Friday Simbaya,
Iringa
Mwandishi wa habari wa Shiriki la Utangazaji Tanzania (TBC-Taifa) Bw. Adeladius Makwega Kazimbaya amejitosa kuwania Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya kuchukua fomu Ijumaa iliyopita na kurudisha Jumamosi.
Aliwahi kuaandikia magazeti ya THISDAY na KULIKONI ya Media Solution ya Dar es Salaam akiripoti kutoka Mkoa wa Iringa kwa Mwaka mitatu wakati yuko chuoni hapa mkoani kabla ya kupata kazi TBC.
Bw.Makwagaambayekwasasa nimtayarishaji vipindimwandamizi wa shirika la utangazaji tanzania.kwa sasa ni mtangazaji wa TBC-Taifa alizaliwa tarehe 19 September,1974 Mlali , Mpwapwa ,Dodoma. Alipata elimu ya msingi katika shule ya Msingi Mtoni Kijichi na sekondari 1-3 Tambaza Sekondari, kidato cha 3-4 Same Sekondari kidato cha 5-6 Ndanda Sekondari.
Pia alipata Diploma ya Ualimu- Chuo cha Ualimu Kasulu, Kigoma, Shahada ya kwanza ya habari Chuo Kikuu cha Tumaini Iringa na ni mwanafunzi wa shahada ya udhamili ya uongozi wa biashara (MBA) Chuo Kikuu cha Tumaini Iringa.
Uzoefu wa Uongozi
1996-1998,-Mwenyekiti Afya na Usafi Ndanda Sekondari
2002-2003- Rais serikali ya wanafunzi Chuo cha Ualaimu Kasulu
2005-2006- Mwakilishi wa wanafunzi wanaosoma shahaba ya habari kwenye bunge la wanachuo Tumaini -Iringa
2006-2008-Makamu rais wa serikali ya wanafunzi Chuo Kikuu cha Tumaini Iringa.
2005-2008- Katibu wa siasa na unenezi wa Tawi la CCM chuo kikuu cha Tumaini Iringa.
2009-2010- Mwenyekiti wa CCM Tawi la Chuo Kikuu cha Tumaini Iringa.
2010 -Miongoni mwa wagombea Ubunge Jimbo la Kigamboni Dar es salaam.
Monday, 8 November 2010
Saturday, 6 November 2010
HONGERA DK SHEIN NA MAALIM SEIF
SHIRIKISHO LA VYAMA VYA WATU WENYE ULEMAVU TANZANIA (SHIVYAWATA), ambalo ni muungano wa vyama tisa vikuu vya kitaifa vya watu wenye ulemavu tofauti nchini vinampongeza Dk. Ali Mohamed Shein pamoja na Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa kuchaguliwa kwake kuwa Rais wa Serikali ya Baraza La Mapinduzi Zanzibar 2010 – 2015.
Halikadhalika muungano huo wa vyama vinampongeza Maalim Seif Sharif Hamad pamoja na chama chake Chama cha Wananchi (CUF) kwa kuchaguliwa kuwa mshindi wa pili kwa mujibu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), lakini pia kwa busara aliyoionyesha ya ukomavu wa kisiasa kwa kukubali matokeo na kuepusha vurugu ambazo zingeweza kutokea kama angeamua vinginevyo.
Kukubali kwake matokeo si kwamba kumeepusha vurugu tu, bali pia kumeepusha maafa na ongezeko kubwa la watu wenye ulemavu, lakini pia ifahamike kuwa machafuko yoyote yatokeapo waathirika na wahanga wakuu wanakuwa ni watu wenye ulemavu, akinamama, wazee na watoto, hivyo basi Mwenyekiti –SHIVYAWATA Lupi Maswanya Mwaisaka,kwa niaba ya watu wenye ulemavu nchini hatuna budi kumpongeza kwa busara aliyoitumia.
Alisema SHIVYAWATA kuwa ni matarajio yao kuwa Wazanzibar wataunda Serikali ya Umoja wa Kitaifa itakayoleta maendeleo kwa wananchi wa Zanzibar kwa kuzingatia makundi yote ya kijamii wakiwemo watu wenye ulemavu, hususan katika kuzingatia mahitaji muhimu katika nyanja za huduma ya elimu, afya, ajira, miundombinu, ushirikishaji katika vikao vya maamuzi n.k.
Shirikisho la Vyama vya Watu wenye Ulemavu Tanzania (SHIVYAWATA) wanawatakia kila la kheri Serikali mpya ya Baraza la Mapinduzi Zanzibar kufanya kazi kwa uadilifu, ushirikiano na upendo na kuwaletea mabadiliko ya kiuchumi wananchi wa Zanzibar yatakayoleta maendeleo.
Halikadhalika muungano huo wa vyama vinampongeza Maalim Seif Sharif Hamad pamoja na chama chake Chama cha Wananchi (CUF) kwa kuchaguliwa kuwa mshindi wa pili kwa mujibu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), lakini pia kwa busara aliyoionyesha ya ukomavu wa kisiasa kwa kukubali matokeo na kuepusha vurugu ambazo zingeweza kutokea kama angeamua vinginevyo.
Kukubali kwake matokeo si kwamba kumeepusha vurugu tu, bali pia kumeepusha maafa na ongezeko kubwa la watu wenye ulemavu, lakini pia ifahamike kuwa machafuko yoyote yatokeapo waathirika na wahanga wakuu wanakuwa ni watu wenye ulemavu, akinamama, wazee na watoto, hivyo basi Mwenyekiti –SHIVYAWATA Lupi Maswanya Mwaisaka,kwa niaba ya watu wenye ulemavu nchini hatuna budi kumpongeza kwa busara aliyoitumia.
Alisema SHIVYAWATA kuwa ni matarajio yao kuwa Wazanzibar wataunda Serikali ya Umoja wa Kitaifa itakayoleta maendeleo kwa wananchi wa Zanzibar kwa kuzingatia makundi yote ya kijamii wakiwemo watu wenye ulemavu, hususan katika kuzingatia mahitaji muhimu katika nyanja za huduma ya elimu, afya, ajira, miundombinu, ushirikishaji katika vikao vya maamuzi n.k.
Shirikisho la Vyama vya Watu wenye Ulemavu Tanzania (SHIVYAWATA) wanawatakia kila la kheri Serikali mpya ya Baraza la Mapinduzi Zanzibar kufanya kazi kwa uadilifu, ushirikiano na upendo na kuwaletea mabadiliko ya kiuchumi wananchi wa Zanzibar yatakayoleta maendeleo.
KIKUNDI cha Sanaa cha ‘Imarisha Vijana Ongeza Ajira’ (IVA) kilichopo Kata ya Ludewa, wilayani Ludewa Mkoa wa Iringa kikicheza ngoma za asili za Lugambusi na Kihoda hivi karibuni. Kikundi hicho pia kinaelimisha jamii juu ya Ukimwi, Mazingira pamoja na kufanya shughuli za maonesho katika sherehe za kitaifa nchini. (PICHA: FRIDAY SIMBAYA)
AFYA
Afya ni mtaji, fundi rangi alikutwa akikwangua rangi katika kuta za Jengo la Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF-AKIBA HOUSE) Mkoani Iringa linalofanyiwa ukarabati, huku vumbi likimtimkia bila kifaa cha kuzuwia vumbi bila kujali madhara yanayoweza kumpata. (PICHA: FRIDAY SIMBAYA)
Friday, 5 November 2010
LACK OF CIVIC EDUCATION CONTRIBUTES TO LOW TURNOUT
LUDEWA Constituency in Iringa Region is one of the constituencies in the country which recorded the lowest turnout of registered voters in the just ended general election, it has been observed.
Although there was a total of 60,976 eligible voters as per permanent register record only half of electorates exercised there right to vote and to elect their leaders from civic to presidential polls, according to the returning officers Iringa Region sources.
The Returning Officer for Ludewa Constituency who is also district executive director (DED), Hilda Lauwo, in presidential election, there were a total of 60,472 eligible voters but only 32,097 participated to elect their desired presidential candidate.
She noted that presidential election results, which involved seven presidential candidates of different political parties in the Ludewa Constituency were as follows, Kuga Peter Mziray of APPT Maendeleo scored 468 votes, Jakaya Mrisho Kikwete of CCM scooped 24,523 votes, Dr. Wilbroad Peter Slaa of CHADEMA (6,378), and Prof. Ibrahimu Haruna Lipumba of CUF (177).
Others are Hashimu Rungwe of NCCR-Mageuzi (60), Muttamwega Mgaya of TLP scopped 49 and Dovutwa Dovutwa of UPDP scoped 37 votes respectively.
However, in that presidential election a total of 32,077 voted but only 31,692 were true votes and 405 votes were rejected.
Chama Cha Mapinduzi (CCM) has scooped ten (10) civic seats and one civic seat had taken by opposition party (TLP) t in same constituency. Returning officer announcing results recently said that Ludewa Constituency conducted election in only eleven wards out of the total of 25 wards in the constituency.
Lauwo explained that the other remaining 14 wards were unopposed during the primaries and were scooped the ruling party CCM, making total of 24 civic seats taken by CCM including the recent ten wards scooped by the party. She added that there were a total of 202 polling stations in the constituency.
In the following wards, CCM excelled: Lifuma, Milo, Manda, Mlangali, Madilu, Ludewa Urban, Lugarawa, Ruhuhu, Ludende and Kilonda but Lupingu ward went TLP.
“As you know, Ludewa Constituency didn’t conducted parliamentary election during just ended general elections because the parliamentary candidate Deo Filikunjombe through CCM ticket went through unopposed during the primaries in August this year. Vis-à-vis in 14 wards CCM went unopposed out of the total 25 wards in the constituency,” the returning officer pointed out.
However, the returning officer low turnout of registered voters in the constituency was due low civic education in the area but urged political parties to pull up their socks take civic education their respective members and supporters in order to increase the level of understanding hence increase the number of people to participate in general election in 2015.
“People should make sure that they participate in the coming next genera election in 2015 so that they can make different participation this year and next general election,” she urged
Although there was a total of 60,976 eligible voters as per permanent register record only half of electorates exercised there right to vote and to elect their leaders from civic to presidential polls, according to the returning officers Iringa Region sources.
The Returning Officer for Ludewa Constituency who is also district executive director (DED), Hilda Lauwo, in presidential election, there were a total of 60,472 eligible voters but only 32,097 participated to elect their desired presidential candidate.
She noted that presidential election results, which involved seven presidential candidates of different political parties in the Ludewa Constituency were as follows, Kuga Peter Mziray of APPT Maendeleo scored 468 votes, Jakaya Mrisho Kikwete of CCM scooped 24,523 votes, Dr. Wilbroad Peter Slaa of CHADEMA (6,378), and Prof. Ibrahimu Haruna Lipumba of CUF (177).
Others are Hashimu Rungwe of NCCR-Mageuzi (60), Muttamwega Mgaya of TLP scopped 49 and Dovutwa Dovutwa of UPDP scoped 37 votes respectively.
However, in that presidential election a total of 32,077 voted but only 31,692 were true votes and 405 votes were rejected.
Chama Cha Mapinduzi (CCM) has scooped ten (10) civic seats and one civic seat had taken by opposition party (TLP) t in same constituency. Returning officer announcing results recently said that Ludewa Constituency conducted election in only eleven wards out of the total of 25 wards in the constituency.
Lauwo explained that the other remaining 14 wards were unopposed during the primaries and were scooped the ruling party CCM, making total of 24 civic seats taken by CCM including the recent ten wards scooped by the party. She added that there were a total of 202 polling stations in the constituency.
In the following wards, CCM excelled: Lifuma, Milo, Manda, Mlangali, Madilu, Ludewa Urban, Lugarawa, Ruhuhu, Ludende and Kilonda but Lupingu ward went TLP.
“As you know, Ludewa Constituency didn’t conducted parliamentary election during just ended general elections because the parliamentary candidate Deo Filikunjombe through CCM ticket went through unopposed during the primaries in August this year. Vis-à-vis in 14 wards CCM went unopposed out of the total 25 wards in the constituency,” the returning officer pointed out.
However, the returning officer low turnout of registered voters in the constituency was due low civic education in the area but urged political parties to pull up their socks take civic education their respective members and supporters in order to increase the level of understanding hence increase the number of people to participate in general election in 2015.
“People should make sure that they participate in the coming next genera election in 2015 so that they can make different participation this year and next general election,” she urged
Thursday, 4 November 2010
KIKUNDI CHA SANAA
KIKUNDI cha Sanaa cha ‘Imarisha Vijana Ongeza Ajira’ (IVA) kilichopo Kata ya Ludewa, wilayani Ludewa Mkoa wa Iringa kikicheza ngoma za asili za Lugambusi na Kihoda hivi karibuni. Kikundi hicho pia kinaelimisha jamii juu ya Ukimwi, Mazingira pamoja na kufanya shughuli za maonesho katika sherehe za kitaifa nchini. (PICHA: FRIDAY SIMBAYA)
MBUNGE MTEULE WA JIMBO LA IRINGA MJINI
Mbunge Mteule wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( Chadema) Jimbo la Iringa Mjini Mchungaji Peter Msigwa akihojiana na mwenye blog hii hayupo pichani muda mfupi baada ya kutembelea Ofisi ya ‘The Guardian/ Nipashe’ iliyopo katika jingo la NSSF ‘Akiba House’ mjini Iringa, Mbunge mteule huyo alivunja ngome ya CCM Mkoa wa Iringa baada ya kuwabwagwa vibaya wapinzani wake katika matokeo ya ubunge baada ya kujizolea kura 17,742 dhidi ya kura 16,916 alizopata Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Monica Mbega. (PICHA: FRIDAY SIMBAYA)
MKWAWA UNIVERSITY COLLEGE OF EDUCATION
The Deputy Principal Academic Prof. Godwell Mrema (C) of Mkwawa University College of Education (MUCE), a constituent College of the University of Dar es Salaam (UDSM) was speaking to the journalists on Thursday during the press briefing ahead of the 2nd Graduation Ceremony to be held on November 20, 2010 at MUCE Sports Grounds. More than 600 graduands will be conferred with various degrees of UDSM by Chancellor Ambassador Fulgence Kazaura. (PHOTO: FRIDAY SIMBAYA)
Monday, 1 November 2010
MCHUNGAJI PETER MSIGWA ANYAKUWA JIMBO LA IRINGA
MGOMBEA wa chama cha Demokrasia na Maendeleo ( Chadema) Jimbo la Iringa mjini mchungaji Peter Msigwa avunja ngome ya CCM Mkoa wa Iringa baada ya kuwabwagwa vibaya wapinzani wake katika matokeo ya ubunge baada ya kujizolea kura 17742 dhidi ya kura 16916 alizopata Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Monica Mbega.
NDONDOO ZA UCHAGUZI MKUU JIMBO LA LUDEWA-IRINGA
Jimbo la Ludewa (Mkoa wa Iringa) lilikuwa na jumla ya wapiga kura walioandikishwa 60,976 sawa na asilimia 80 ya lengo la uandikishaji (75,826), Msimamizi wa Uchaguzi Hildah Lauo ameeleza.
Msimamizi wa uchaguzi huyo ambaye pia ni Mkurungezi wa Halmashauri ya Ludewa Jimbo la Ludewa lilkuwa na idadi ya vituo vya kupigia kura 202 yenye jumla ya kata 25, ambapo kata 14 kati ya 25 zilipita bila kupingwa na kata kumi na moja (11) ndizo uchagazi wa madiwani ulifanyika na tayara kata ya Lupingu imenyankiliwa na upinzani (TLP).
Aidha, alisema kuwa matokeo ya awali katika uchaguzi wa urais kutoka kata nne (Ibumi, Iwela, mkomang'ombe na Luana)sawa na vituo vya kupgia kura 33 matokeo ya awali ya urais yakuwa, kura 3,992 walichukua CCM na CHADEMA walipata 1,414.
Alisema kuwa pamoja na idadi hiyo ya wapiga kura wa jimbo hili wananchi hawakujitokeza kwa wingi kushiriki katika uchaguzi mkuu 2010 kutokana na sababu mbalimbali, zikiwemo za kupoteza shada za kupigia kura na wengine kuamua kutopiga kura kabisa.
Kwa ujumla zoezi la upingaji kura katika Jimbo la Ludewa lilikwenda vizuri ambapo hakuna sehemu yoyote kulikoripotiwa kuwa na vurugu za kisiasa mpaka sasa.
Hata hivyo mchana huo tapata matokeo kamili kutoka kata zilizobaki zenye idadi ya wapiga kura wengi kama Mlangali na Lugalawa.
Ok bye see you later, mchana mwema.
Msimamizi wa uchaguzi huyo ambaye pia ni Mkurungezi wa Halmashauri ya Ludewa Jimbo la Ludewa lilkuwa na idadi ya vituo vya kupigia kura 202 yenye jumla ya kata 25, ambapo kata 14 kati ya 25 zilipita bila kupingwa na kata kumi na moja (11) ndizo uchagazi wa madiwani ulifanyika na tayara kata ya Lupingu imenyankiliwa na upinzani (TLP).
Aidha, alisema kuwa matokeo ya awali katika uchaguzi wa urais kutoka kata nne (Ibumi, Iwela, mkomang'ombe na Luana)sawa na vituo vya kupgia kura 33 matokeo ya awali ya urais yakuwa, kura 3,992 walichukua CCM na CHADEMA walipata 1,414.
Alisema kuwa pamoja na idadi hiyo ya wapiga kura wa jimbo hili wananchi hawakujitokeza kwa wingi kushiriki katika uchaguzi mkuu 2010 kutokana na sababu mbalimbali, zikiwemo za kupoteza shada za kupigia kura na wengine kuamua kutopiga kura kabisa.
Kwa ujumla zoezi la upingaji kura katika Jimbo la Ludewa lilikwenda vizuri ambapo hakuna sehemu yoyote kulikoripotiwa kuwa na vurugu za kisiasa mpaka sasa.
Hata hivyo mchana huo tapata matokeo kamili kutoka kata zilizobaki zenye idadi ya wapiga kura wengi kama Mlangali na Lugalawa.
Ok bye see you later, mchana mwema.
Subscribe to:
Posts (Atom)
WATOTO WAITAKA SERIKALI KUTUNGA SHERIA KALI ...
Na Friday Simbaya, Mufindi Wanafunzi wa shule za msingi na sekondari wilayani Mufindi mkoani Iringa wameiomba serikali kwa kush...
-
KIKUNDI cha Upendo ni kikundi cha kina mama 20 walioamua kujiunga kwa pamoja na kuanz...
-
Peter Mbata's the Deputy Headmaster and Amon Chota (academic master). Headmaster of Ifunda Technical School, Mpambwe Paul ...
-
Habari ndugu msomaji wetu wa blog, Natumaini unaendelea vyema. Leo tutaanza kujifunza kilimo cha bora cha nyanya, na tutaanza kufahamu vit...