Msimu wa mavuno umewadia tena. Hawa ni wakazi wa Mtaa wa Yerusalemu Peramiho, Wilaya ya
Songea, Mkoani Ruvuma wakisaidiana kupukuchua mahindi baada ya mavuno kwa
kutumia mashine ndogo inayosukumwa kwa nguvu ya genareta. Mashine hiyo ya
kupukuchulia hukodishwa na wafanyabiashara kwa wakulima wadogo wadogo katika
kipindi hiki cha mavuno. Mkoa wa Ruvuma ni maarufu sana kwa Kilimo cha mahindi. Hogereni sana kwa mavuno!
Friday, 8 July 2011
Sunday, 26 June 2011
MWENYEKITI TLP SONGEA AFARIKI DUNIA
Na Friday Simbaya,
S ongea
PAROKO Padre Joseph Ndimbo wa Parokia ya Peramiho Jimbo Kuu
la Songea aliwaasa waombolezaji kuacha
mara moja tabia kugombeana maeneo ya kuzika marehemu.
Alisema kuwa kuna mtindo umezuka wanandugu kuvutana wapi
wamzike marehemu na kuongeza kuwa huku ni kumdhalilisha marehemu.
Pd. Ndimbo alisema hayo Jumamosi wakati wa mazishi ya aliyekuwa
mwenyekiti wa Tanzania labour Party (TLP)wilaya ya Songea, Bw. Kalo Kombe
katika makaburi ya Liangano karibu na Kijiji cha Lipinyapinya Kata ya Peramiho.
Alisema kuwa sio tabia nzuri kwa wanandugu kugombeana maiti
, kumbe maeneo yote yanafaa kuzikia.
“Imezuka tabia katika jamii ya watu kugombania maiti yaani
mvutanao wa watu wawili kugombania maiti wakati wa mazishi kila mtu anataka kuzika mahali pake, huku
kote ni kuhangaika na kumtesa marehemu. Kuzikwa ni kuzikwa tu hata kama
atazikwa Peramiho ‘A’ au Peramiho ‘B’,” alitoa mfano paroko huyu.
Aidha, paroko alisisitiza kuwa watu wasitafute mchawi kwamba
marehemu amerogwa bali waendelee kumuonbea marehemu kuwa astarehe kwa amani kwa
Mungu Baba.
Aliwaambia waombolezaji kuwa kuumwa kwa mwanadamu ni mateso
kwa sababu mtu yeyote atakayependa maisha lazima afe lakini anayechukia maisha
ataishi maisha ya milele.
Aliongeza kuwa WaTanzania vilevile tunakiwa kufanya kazi kwa bidii sio kutafuta kwa njia
ya mkato. Alisema kuwa mtu lazima apate mateso ili afe kama vile mtu anatakiwa
kuteseka ili apate chakula. Aliongeza kuwa mateso ni sehemu ya maisha ya
binadamu, kwa hiyo mtu akiuugua ni mateso, vilevile mtu kuchapakazi kwa bidii
ni mateso pia ili kuweza kuishi maisha bora.
“Hakuna maisha bora kama hujishughulishi kwa sababu maisha
bora huja kwa kufanyakazi kwa bidii na kuaacha uvivu,” alisema paroko. “Asiyefanya
kazi na asile huo ndio wito wangu kwenu” alisisitiza.
Mwenyekiti huyo wa TLP
alifariki dunia juzi katika hospitali ya Misioni ya St. Joseph Peramiho
baada ya kuugua vidonda vya tumbo kwa muda mrefu.
Marehemu Kombe alistaafu katika Jeshi la Polisi tangu 1995,
ambapo alifikia renki ya inspector kabla ya kustaafu na kuanza kujishughulisha
na mambo ya siasa. Marehemu Kombe alipenda magauzi ndiyo maana alijiunga na
upinzani, alikuwa anaishi maeneo ya Mjimwema katika Manispaa ya Songea mkoani
Ruvuma.
Monday, 20 June 2011
MTOTO ANUSURIKA KUUNGUA MOTO
Mafundi wakiendelea na ukrabati wa nyumba iliyoteketea kwa moto hivi karibuni maeneo ya Peramiho, ambapo mtoto mdogo anayesoma shule ya chekechea alinusurika kuungua moto na baadae kuokolewa na wasamaria wema kwa kubomoa mlango kwa shoka. Mtoto huyo mara baada ya kuokolewa alikimbizwa katika hospitali ya Peramiho kwa uchunguzi zaidi, baada kubugia moshi mwingi. Mashuhuda waliongea na mwandishi walisema kuwa chanzo cha moto huo ni hitilafu ya umeme iliyosababishwa na jiko la umeme lililoaachwa bila uwanagalizi. Aidha, familia mbili ambazo zilikuwa zikiishi katika nyumba hiyo kwa sasa zinajistili kwa majirani kwa muda huu huku wakisubiri kumalizika kwa ukarabati wa nyumba kwa kwekuweka bati badala ya vigae vilivyokuwa hapo mwanzo.
Fundi mmoja akitoa mabaki mbalimbali ya vyombo vya ndani kutoka chumba kulichonzia kuungua moto.
Sunday, 19 June 2011
ZAMBIA'S FIRST ELECTED PRESIDENT CHILUBA DIES
Frederick Chiluba pictured above, Zambia's first democratically elected president, has died at home at the age of 68.
Mr Chiluba was hailed as Zambia's "liberator" by his supporters when he came to office in 1991 after 27 years of single party Socialist rule.
He won praise for his economic and political reforms but was later accused of embezzlement and turning a blind eye to corruption.
The cause of his death is not known but he was known to have heart problems.
Under Mr Chiluba, Zambia was considered to be a model of African democracy and his presidency was welcomed in the West.
The former trade union leader and son of a copper miner introduced many reforms which dismantled the restrictive policies of former President Kenneth Kaunda.
But he was dogged by corruption allegations and was accused of taking an authoritarian approach to his political opponents, firing critical colleagues and jailing outspoken journalists.
He attempted to alter the constitution to allow him to run for a third term in office in 2001, but stood down after huge public protests.
Mr Chiluba was prosecuted for alleged embezzlement in 2002 but acquitted after a six-year trial.
In 2007, he was convicted of fraud by a London court and ordered to repay $58m in embezzled funds, but the ruling was never carried out by Zambia.
He spent his final years at his residence in Lusaka, confined by ill health and the confiscation of his passport by the authorities.
18 June 2011 Last updated at 07:19 GMT
Frederick
Chiluba, Zambia's first elected President
Frederick Chiluba came to power as Zambia's second
president by defeating the once-revered Kenneth Kaunda in the first contested
elections in the country for more than 20 years.
Democracy flourished during his 10-year rule, but the dapper and diminutive
politician ended his career under a shadow of corruption. He was the son of a copper miner, and was born in Kitwe, in what was then the British Protectorate of Northern Rhodesia.
Working as a clerk as a young man, he joined a building and engineering workers union, and visited East Germany and the Soviet Union, but later became disenchanted with Communist ideology. He rose through the union ranks to become chairman in 1971, and became increasingly involved in politics in Zambia.
He had been a supporter of Kaunda through independence in 1964, but became disillusioned with one-party rule, and in 1980 threatened to call a strike against the regime.
Widespread support
After months of turmoil, Kaunda ordered the arrest of Chiluba and three
other union leaders, and they were held for three months, until a court ruled
that their imprisonment was unlawful.On his release Chiluba began to attract increasing support, and, in 1990, formed the Movement for Multi-Party Democracy, MMD, to oppose Kaunda's authoritarian rule.
With a bankrupt economy - foreign debt stood at more than $6.4bn (£4bn) - high unemployment and 100% inflation, he attracted widespread backing for his demands for economic reform and improved human rights.
Kenneth
Kaunda relinquished power in 1991
Only five feet tall, he was nevertheless an impressive figure who, as a
born-again Christian, brought the passion of the pulpit to his oratory.President Kaunda finally bowed to demands for free elections which were held in November 1991 and closely assessed by 2,000 local and foreign monitors, including a Commonwealth team and one led by US ex-President Jimmy Carter.
The poll was declared free and fair, and Chiluba and his party were swept to power with more than 80% of the vote.
Kaunda stepped down in what was regarded as the most democratic change of government ever seen in Africa.
Chiluba inherited enormous economic problems, aggravated by the worst drought in the country for 50 years. He set about trying to persuade the West to come to his aid in setting up a free-market economy, and promised a big sell-off of state-run enterprises.
But Zambian hopes for a bright future gradually turned to disillusionment as Chiluba began to abandon egalitarian principles and processes.
Tarnished image
Corruption became widespread at all levels and crime increased. The sell-off
of the state copper mines was botched and many of the mines company's assets
vanished into thin air.In the meantime, the free-market economy failed to deliver and three quarters of Zambia's population continued to live in poverty.
What's more, Frederick Chiluba's personal image suffered badly when he appeared to be more interested in himself than his country.
Mwanawasa:
Chiluba's successor brought charges of corruption against him
In 1996, he prevented former President Kaunda from standing against him in
the presidential elections by changing the constitution to preclude candidates
with parents born outside Zambia. Kaunda's father was from Zaire.His hounding of Kaunda was not popular either at home or among the international community.
In 1997, he imprisoned the former leader for allegedly conspiring in a coup plot against him. Chiluba released him only after pressure from Africa's elder statesmen, Nelson Mandela and Julius Nyerere.
He also tried to strip Kaunda of his citizenship.
Then Chiluba tried to amend the constitution again to enable him to run for a third term and allegedly spent a lot of money bribing people to support his cause. Nevertheless, he failed and was forced to step down in 2002.
Corruption Charges
The following year, his hand-picked successor, Levy Mwanawasa, brought more
than 100 charges of corruption against Frederick Chiluba including the theft of
$35m of public funds allegedly funnelled into private bank accounts in London.His wife Regina also faced charges of theft. Chiluba denied all charges, saying they were politically motivated. And he was acquitted after a six-year trial.
Corruption
became widespread under Chiluba
However in 2007 he was found guilty of stealing $46m (£23m) of public money
by a UK court. To his credit, under Frederick Chiluba, freedom of speech in Zambia flourished and its media became as lively as anywhere in Africa.
Though he tried to extend his tenure in power, he did not resort to state-controlled oppression to get his way.
Internationally, he helped broker a peace agreement in neighbouring civil war-torn Democratic Republic of Congo.
Perhaps Frederick Chiluba's greatest legacy is that he established a lasting principle of democracy in Zambian politics.
Frederick Chiluba afariki dunia
Rais wa zamani wa Zambia, Frederick
Chiluba, amefariki dunia, akiwa na umri wa miaka 68.
Bwana Chiluba amekuwa na ugonjwa
moyo kwa miaka kadhaa.
Rais Chiluba aliiongoza Zambia kwa
mwongo mzima katika miaka ya '90, na baada ya kustaafu alishtakiwa kwa sababu
ya rushwa.
Frederick Chiluba alipata urais wa
Zambia mwaka wa 1991, wakati Afrika inaanza kuingiia katika demokrasi ya vyama
vingi.
Kabla ya hapo alikuwa kiongozi wa
wafanyakazi.
Aliahidi kuleta mabadiliko lakini
alipochukua uongozi Zambia ilikuwa imeshafilisika, naye aliacha rushwa kustawi.
Alipojaribu kujiongezea muhula wa
tatu wa madaraka, alipingwa.
Pia alilaumiwa kuwa akipenda maisha
ya anasa.
Baada ya kuondoka madarakani mwaka
wa 2001, mrithi wake, Levy Mwanawasa, alimshtaki kwa shutuma za rushwa.
Baada ya kesi ya miaka 6 kuhusu
ubadhirifu wa mali ya taifa, Frederick Chiluba aliambiwa hakuwa na makosa. .
Lakini katika kesi nyengine
iliyofanywa katika mahakama makuu ya London, Chiluba alikutikana na hatia ya
kuiba mamilioni ya dola ya fedha za serikali ya Zambia, kwa kutumia akaunti
kwenye mabenki ya London.
Chanzo: BBC
Chanzo: BBC
Monday, 6 June 2011
SHEREHE ZA KUWEKWA WAKFU NA KUSIMIKA ASKOFU- MBINGA
Kutoka kushoto kwenda kulia ni Mmliki wa Blog hii Friday Simbaya, Anold na Mpigapicha wa Rais Fred Maro muda mfupi kabla ya kuanza kwa Misa Takatifu ya kuwekwa na kusimika Askofu Mpya wa Jimbo la Mbinga, John Ndimbo katika Kanisa la Mt. kiliani.
Rais Jakaya Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na maaskofu baada ya kumalizika kwa Misa ya kusimika Askofu wa Mbinga. Kulia kwake ni Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam Kardinali Polycarp Pengo na kushoto kwake ni Askofu Mteule John Chrysostom Ndimbo.
Waamini mbalimbali wakifuatilia Misa Takatifu ya kuwekwa wakfu na kusimika Askofu wa Mbinga katika Kanisa la Mt. Kiliani lililojaa pomoli hadi waamini wengine walikaa nje wakifuatilia misa kupitia Tv.
Waamini wakifuatilia Misa katika viwanja vya Emmanuel Square nje ya Kanisa kutokana na kukosa nafasi ndani na kukaa kwa nje wakifuatilia misa hiyo kwa kupitia Runinga mbili zenye vioo vikubwa.
Rais Jakaya Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na maaskofu baada ya kumalizika kwa Misa ya kusimika Askofu wa Mbinga. Kulia kwake ni Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam Kardinali Polycarp Pengo na kushoto kwake ni Askofu Mteule John Chrysostom Ndimbo.
Rais Kikwete wanne kutoka kulia akiwa Kanisa la Mt. Kiliani la Mbinga Jumapili wakati ya sherehe ya kuwekwa na kusimikwa Askofu wa Mbinga.
DEDICATION OF NEW BISHOP OF MBINGA
By Friday Simbaya,
Mbinga
Mbinga
PRESIDENT Jakaya Kikwete has
urged religious institutions in the country to provide more in vocational
training centers so that more youths can get vocational skills and become self-reliance,
hence increase self employment.
The president made the request
on Sunday during the Episcopal Ordination of new Bishop of Mbinga, Rev. John C.
Ndimbo of the Roman Catholic Diocese of Mbinga in Ruvuma Region.
He noted that religious
institutions should invest more in the vocational training centers than
anything else whereby youths
especially dropouts can have the chance of getting vocational skills and help them become self reliant.
“We are asking for your favor to build many
vocational centers in the country so that help the government to make more people to become self esteemed and become self employed rather than them waiting for white collar
jobs which are very limited and not sufficient enough for everyone, hence prepare them for the competitive labour
market in the process,” he said.
He said that the government
cannot afford to give job opportunities to everyone because there fewer job
opportunities as compared to the number of people who are in need in the country, but with advent of more vocational training
centers, it will help them become self reliance
.
.
Kikwete emphasized that people
should develop the spirit self motivation and become hard workers and stop
sitting around idle bickering and backbiting people around , if they want to
attain the better life because better is not like manna dropping from heaven.
“People should utilize their
time effectively but not just sitting around and complaining about hard life and backbiting people
and playing gambling games but should instead get down to work, hence better life
and poverty reduction,” he added.
On the issue of drug
trafficking, the president said that the business of drug is rampant in the
country and war against it is becoming difficulty because it also involves people
financial powers including religious leaders as while. He said that recently
there was one bishop of the Catholic Church but he did not name him, who was
intercepted by police in connection with drug trafficking.
He asked religious leaders in
the country to help the government fighting the war against the illegal
business of drugs because it is retarding economic growth as it is killing youths are
the future workforce due to drug abuse. However, he asked the church
to help the government in reducing that kind of business by preaching to their followers
about the bad thing of drugs abuse.
“We shall not leave any stone unturned but we shall reach for anyone involved in this kind of business” he pointed out.
“We shall not leave any stone unturned but we shall reach for anyone involved in this kind of business” he pointed out.
On the issue of the road, the president has
promised the Mbinga residents that Mbinga Road will be completed before the end
next year, through the support from American people. The Mbinga Road is will be
constructed at a tarmac level and will reduce time spend on traveling because
it will smooth no more dust and fast running vehicles from Songea to Mbinga
will be brought.
He has also said after the
completion of Mbinga Road, the government will focus on the road to Mbamba Bay which
will be headquarters of Nyasa District. Adding if things go well with the donors
will start construction of the road as soon as possible. But, it is not
necessarily that we depend on donors to construct our roads we shall use own
source funds to do that, he said.
On the issue of electricity,
the president said Mbinga and the rest of Ruvuma Region, he said region will be
connected to the national grid every soon. Mbinga and the rest of Ruvuma Region
is currently using thermo-power stations for electricity.
In another development,
President of Tanzania Episcopal Conference (TEC), Rev. Yuda Tadeus Ruwaichi urged
the government to make sure that it improves the lives of people by making a
budget that going to meet people’s expectations and needs during the forthcoming Budget Session in
Dodoma, hence reduce the suffering of many people. Rev. Ruwaichi was
accompanied by more than 25 bishops who are members of TEC and wished the
country for prosperity, peace and tranquility during the celebration of 50th
anniversary of independence of Tanzania this year.
The Mass of Ordination of the new bishop of Mbinga was driven by the Bishop of Dar es Salaam, Polycarp Cardinal Pengo. Other distinguished guests who attended the ceremony include the former President William Benjamin Mkapa and his wife Anna Mkapa, various Member of Parliaments for Mbinga Constituency and also regional and district leaders.
The Mass of Ordination of the new bishop of Mbinga was driven by the Bishop of Dar es Salaam, Polycarp Cardinal Pengo. Other distinguished guests who attended the ceremony include the former President William Benjamin Mkapa and his wife Anna Mkapa, various Member of Parliaments for Mbinga Constituency and also regional and district leaders.
From left to right is the
former First Lady, Anna Mkapa, Former President William Benjamin Mkapa, Bishop
Polycarp Cardinal Pengo, new bishop of Mbinga, John Ndimbo, President Jakaya
kikwete and President of Tanzania Episcopal Conference, Bishop Yuda Ruwaichi in front of St. Kilian Church of Mbinga, Ruvuma Region,
at the ordination ceremony of new bishop of Mbinga on Sunday.
President Jakaya kikwete was delivering his speech on Sunday during
the ordination and dedication ceremony of new Bishop of Mbinga Diocese on
Sunday.
Thursday, 2 June 2011
NEGLECTED TROPICAL DISEASES
Kaimu Mganga Mkuu (W) Halmashauri
ya Wilaya Songea, Dr. Stephen Mhando akizungumza
na wanasemina wakati akifungua Kikao cha Mkoa cha Kutathmini na Kuratibu
shughuli za magonjwa yasiopewa kipaumbele
(Neglected Tropical Diseases) cha siku tatu mkoani Ruvuma 2010-2011,
kilichofanyika Peramiho LEO. Kushoto kwake ni Mratibu wa magonjwa yasiopewa
kipaumbele mkoani Ruvuma, Dr. Ida Ngowi. Magonjwa hayo ni kama vile Kichocho
cha kibofu na tumbo, Usubi , Minyoo ya tumbo (Soil worms), Matende na Mabusha
na vikope (Trachoma). (PICHA: FRIDAY SIMBAYA)
Sunday, 22 May 2011
NO PLACE LIKE HOME
He is not dead! We have such people in many areas of the country who are sleeping near a dust bin at the bus stations. Indeed they have no place to call their home but they decide staying in such situation like this young man who was found yesterday get snoozing on the pavement in the open air in the presence of people at the Songea Town Main Bus Stand in Ruvuma Ruvuma. After they have done tiresome jobs as callboys and so on they call it day’s work. Some of them carrying parcel and luggage of travelers, who are traveling to and fro Ruvuma, they get rest just like that. Later on they get some food just right their at bus stand premises from the so called ‘Mama lishe’ or street food vendors nearby. Nevertheless, Songea Main Bus Station is facing the problem of filthy because everything is done under one roof, with uncollected garbage in many parts of the stand grounds. But what is the town fathers and municipal council authorities doing to correct the situation the bus stand and problem it is going through at moment hence reduce health hazards and prevent the epidemic contamination disease like Cholera? Prevention is better than cure.
Kina mama wauza dagaa wakisubiri wateja wakununua bidhaa hiyo kama walivyokutwa jana katika Stendi Kuu ya Mabasi yaendayo mikoani katika Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma. Dagaa hao kutoka Ziwa Nyasa katika Wilaya Mpya ya Nyasa, Jimbo la Mbinga Magharibi walikuwa wanauza kopo la lita moja kati ya Tshs. 1,500/- hadi 2,000/- na kisado cha lita nne kati ya shilingi 6,500/- hadi 7,000/-.
Tuesday, 17 May 2011
SEMINA KWA VIONGOZI WA CHAMA CHA WALIMU TZ
Katibu wa CWT Mkoa wa Ruvuma ambaye pia alikuwa ndiye Mratibu wa Mafunzo, Mwl. Luya Ngonyani akitoa mada wakati ya semina ya sera ya mafunzo na haki kwa viongozi wa CWT kutoka Kata Nne za Litisha, Maposeni, Peramiho na Lilambo wilayani Songea. Jumla ya washiriki wa semina hiyo ni 40. Semina hiyo ilifanyika leo Peramiho Shule ya Msingi, Songea Vijijini.
Washiriki wa semina ya sera ya mafunzo wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi CWT na wawezeshaji muda mfupi baada ya kumalizika kwa semina hiyo. walioketi kutoka kushoto kwenda kulia ni Mwl. Mwahija Luambano Mwakilishi wa Walimu Wanawake wilayani Songea, Mwl. Gervas Ngondo Mweka Hazina CWT, Mwl. Luya Ngonyani Katibu CWT Mkoa/ Mratibu wa Mafunzo, Mwl. Beno Mwenda Mwenyekiti CWT Wilaya na Mwl. Manyula M. Nkomolla Katibu CWT Songea Vijijini.
RAIS KIKWETE MGENI RASMI KATIKA KUMSIMIKA ASKOFU NDIMBO
ASKOFU MTEULE WA JIMBO LA MBINGA
MHASHAMU JOHN C. NDIMBO
RAIS Jakaya Mrisho Kikwete anatarajia kuwa mgeni rasmi katika sherehe za kumsimika Askofu Mpya wa Pili wa Jimbo Katoliki la Mbinga mkoani Ruvuma hapo tarehe 05.06.2011. Aidha, Ibada ya kuwekwa wakfu Askofu huyo itaongozwa na Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Da es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo.
Akiongea na Blog ya http://www.fridaysimbaya.blogspot.com/ leo, Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Jimbo la Mbinga Pd. Jospeh Mwingira amesema kuwa Rais Kikwete ndiye atakuwa mgeni rasmi katika sherehe za kumsimika rasmi na kuweka wakfu Askofu Mteule wa Jimbo la Mbinga, Mhashamu John Chrisostom Ndimbo.
Jimbo Katoliki la Mbinga limepata Askofu Mpya aliyeteuliwa na Baba Mtakatifu Benedikto XVI kuwa Askofu wa Pili wa Jimbo hilo. Mwashamu Askofu John Ndimbo aliteuliwa na Baba Mtakatifu Benedikto XVI kuwa Askofu wa pili wa Jimbo Katoliki la Mbinga hapo tarehe 12 Machi, 2011.
Uteuzi huo umefuatia kustaafu kisheria kwa Mhashamu Askofu Emmanuel Mapunda aliyeliongoza jimbo hilo kwa miaka 21 mpaka sasa. Mhashamu Askofu Emmanuel Mapunda amefikisha umri wa miaka 75 ambayo kwa taratibu na sheria za Kanisa Katoliki, maaskofu wake wafikapo umri huo wanapaswa kustaafu majukumu ya kuliongoza jimbo.
Askofu Mapunda alifikisha umri huo tarehe 10. 12. 2010. Baada ya kupeleka maombi ya kustaafu kwa mkubwa wake Papa Benedikto XVI, Askofu huyo alikubaliwa na kuomba aendelee kusimamia Jimbo la Mbinga hadi hapo Askofu mpya atakapoteuliwa.
Askofu Jonh C. Ndimbo alizaliwa tarehe 12. 10. 1960 huko Kipololo katika Parokia ya Lundamato Jimbo la Mbinga. Wazazi wake walikuwa Chrisostom Ndimbo na Fransiska Ndunguru. Ubatizo alipata tarehe 13.11 1960 na kipaimara tarhe 29.10. 1972.
Shule ya msingi alisomo huko Kipololo katika Porakia ya Lundamato la Jimbo la Mbinga, kwa darasa la kwanza hadi nne mwaka 1969 hadi 1972. Masomo ya darasa la tano hadi saba alisoma huko Hanga Seminari katika Jimbo Kuu la Songea kuanzia mwaka 1973 hadi 1975.
Masomo ya sekondari alisoma katika Seminari za Likonde katika Jimbo la Mbinga (wakati huo lilikuwa Jimbo la Songea) na Nyegezi katika Jimbo la Mwanza. Kidato cha kwanza hadi cha nne mwaka 1976 hadi 1979 huko Likonde. Kidato cha tano hadi cha sita mwaka 1980 hadi 1981 huko Nyegezi.
Pia alipata mafunzo ya kijeshi huko Urujoro-Arusha maka 1982. Kisha aliendelea na malezi na kozi ya upadre katika Seminari Kuu Peramiho. Falsafa alisoma mwaka 1983 hadi 1985 na teolojia mwaka 1986 mpaka 1989. Alipewa Daraja Takatifu la Ushemasi Juni 1988 na upadre 21.06. 1989 huko Mbinga na Mhashamu Askofu Emmanuel A. Mapunda wa Jimbo la Mbinga. Yeye ni miongoni mwa mapadre sita (6) waliopadrishwa mwaka huo jimboni Mbinga.
Baada ya upadrisho Pd. John Ndimbo alitumwa seminari ya Likonde kuwa mwalimu na mlezi wa waseminari. Mwaka 1990 alipelekwa Ufilipino kwa masomo ya juu ambako alipata shahada ya kwanza na ya pili katika masomo ya sayansi na utawala wa elimu. Vyuo alivyosoma ni Rigina Carm Katikaeli kilichopo katika jiji la Manila na cha DE LA SALLE hapa hapo Manila. Alihitimu masomo hayo mwaka 1994 na kurudi jimboni Mbinga.
Tarehe 8 Septemba 1994 aliteuliwa na Mhashamu Askofu Emmanuel Mapunda kuwa Gombera wa seminari Likonde wadhifa aliodumu nao mpaka tarehe 28. 09.2010 alipoacha kufuatia kuteuliwa kwake kuwa Katibu Mtendaji wa Idara ya Elimu ya Baraza la Maaskofu Tanzania tarehe 3 Agosti 2010.
Mhashamu Askofu John Ndimbo ni Askofu pacha wa Mhashamu Askofu Bernadine Mfumbusa wa Jimbo Katoliki la Kondoa katika Mkoa wa Dodoma. Kwani, siku alipoteuliwa na kutangazwa Askofu John Ndimbo wa Jimbo la Mbinga, tarehe 12 Machi, 2010, Baba Mtakatifu Benedikto XVI alianzisha Jimbo la jipya la Kondoa lililozaliwa kutoka Jimbo la Katoliki la Dodoma. Kisha akamteua Pd. Bernadine Mfumbusa, ambaye alikuwa makamu mkuu wa taaluma katika chuo kikuu cha Kanisa Katoliki cha Mt. Augustino (SAUTI) Mwanza .
“Jimbo jipya la Kondoa lina eneo la kilometa za mraba 13, 210, watu 541,345, wakatoliki 46,067, mapadre 17, watawa 87. kumbe, Jimbo Katoliki la Mbinga ambalo lina milikiwa na Mhashamu Askofu John Ndimbo lina eneo la kilometa za mraba 11, 400, watu 532,019, wakatoliki 418,000, mapadre 69 na watawa 270,” sehemu ya taarifa inaelezea.
Uteuzi wa maaskofu hawa umepokelewa na wakristo na Watanzaia kwa ujumla kwa hisia za pekee na tofauti. Kundi kubwa la watu linasifu na kupongeza uteuzi wao, lakini wengine wanaonja kwa karibu sana pengo waliloacha katika nafasi zao walizoziacaha. Wote hao wamekuwa katika nafasi za juu na nyeti za kitaaluma katika Kanisa letu.
Mhashamu John Ndimbo alikuwa Katibu Mtendaji wa Idara ya Elimu TEC baada ya kushughulika na taaluma kwa miaka 22 katika seminari Likonde, hivyo kwa uhakika ana mang’amuzi na uzoefu wakutosha.
Mhashamu Askofu Mfumbusa amekuwa makamu wa mkuu wa taaluma katika chuo cha SAUTI-Mwanza na mhadhiri nguri wanafunzi wa kozi ya uandshi wa habari. Hapo alikuwa mhimili mkubwa wa taaluma ya mwasiliano.
Wahashamu maaskofu Benedine Mfumbusa na John Ndimbo walikula kiapo cha utii na kukiri kanuni ya Imani kwa kiongozi mkuu wa Kanisa Katoliki Papa Benedikto XVI huko Roma katika Kikanisa cha mweyeheri Kardinali Henry Newman hapo tarehe 4 Aprili, 2011. Katika nafasi hiyo walikabidhiwa vitendea kazi vya kiaskofu.
"Tunawatakia maaskofu wetu hawa amani, baraka na nguvu katika wajibu huo mpya. Mungu aandamane nao daima."
Subscribe to:
Posts (Atom)
WATOTO WAITAKA SERIKALI KUTUNGA SHERIA KALI ...
Na Friday Simbaya, Mufindi Wanafunzi wa shule za msingi na sekondari wilayani Mufindi mkoani Iringa wameiomba serikali kwa kush...
-
KIKUNDI cha Upendo ni kikundi cha kina mama 20 walioamua kujiunga kwa pamoja na kuanz...
-
Peter Mbata's the Deputy Headmaster and Amon Chota (academic master). Headmaster of Ifunda Technical School, Mpambwe Paul ...
-
Habari ndugu msomaji wetu wa blog, Natumaini unaendelea vyema. Leo tutaanza kujifunza kilimo cha bora cha nyanya, na tutaanza kufahamu vit...